Malawi, Tanzania fail to agree on Lake Nyasa border dispute

Umbumbumbu ni kutokujua jinsi lilivyoingia Mozambique. Umbumbumbu ni tatizo lenu na Mkapa hakuona haya kueleza uvivu wenu wa kutafiti hata kama mlimchukia kwa hilo.

Hivi wewe nikupateje, unapata wapi ujasiri wa kuwaita wenzio mambumbumbu,
naanza kushindwa kukuelewa kwa kweli.

Nakukumbusha kuwa tunajadiliana kutokuelewana kwetu na wamalawi, hili jambo ni letu, na halihitaji jamii ya kimataifa, wakishindwa kuelewa tutawaelewesha kwa hasara yao, Namaana TUTAWADUNDA hadi wajitambue umbumbumbu wao.
 
Tofauti yetu sisi tunaotetea Heligoland-Treaty of 1890 ni kwamba sisi, hatuishii kuitaja Heligoland-1890, bali tunaweza hata kutaja hadi vifungu vyake tunavyovisimamia, na tunavitaja kwa kuwaonyesha vinavyosema. Hatuhitaji mtutajie.

Lakini nyinyi mnaotetea sheria lukuki, yaani mara hii mara ile, mmethibitisha kwamba vichwa vyenu vimejaa ubabaishaji na uvivu wa kusoma kiasi kwamba haviwezi kamwe kutaja kifungu chochote cha sheria mnayoisimamia, zaidi ya kuishia kutaja jina la sheria. Umbumbumbu wa hali ya juu unaonekana kwenye mataifa machache mno humu duniani.

Mkuu mimi sipo kwenye sisi, wale au wao... mimi naongelea sheria kama invyosema.., Treaty Yes mnaweza mkapata leo na baada ya miaka mkavunja hayo mapatano while sheria (International Law) ni sheria mpaka pale itakavyobadilishwa..., sasa mkuu umesema kama international law inasema mpaka upo in the middle of body of water ukasema Kenya watatumia hiyo kuhusu Mt Kilimanjaro..., ndio maana nikakuuliza Is Mount Kilimanjaro a Body of water... ?

Na kuhusu hii treaty kuna sehemu yoyote waliyosema kwamba withdrawal from treaty hairuhusiwi ?, after all the parties which agreed to this treaty are no longer the parties which are now concerned
 
Jama iwe ni leo au kesho Wamalawi na Watanzania tukiingia vitani na kuanza kuchinja ndugu zetu Wamalawi kama kuku, tukija tukasimama kidogo mahala n kuanza kujiuliza maswali magumu moyoni kimya kimya kwamba katika vita hivyo ni kweli jeshi laa Malawi na Jeshi la Wananchi Tanzania kweli tutakua tunapigana KWA KUTETEA MASLAHI YA MKOLONI KATIKA MKATABA WA KALE HIYO kwa kuwa watu tumeshindwa kusimamia haki na utamaduni wa kiafrika wa KUTOKUMZUIA MTU MAJI HATA SIKU MOJA au ndio kusema tutakua tunapigania kweli maslahi ya vizazi vya leo katika mataifa yetu haya mawili kweli??????????

Viongozi wa dini wa Mataifa haya Mawili mko wapi kuja kutoa somo juu ya rasilmali maji na matumizi yake kabla vita havijapiga hodi?? Hivi ni kweli kote Malawi naa Tanzania Wazee wote wametoweka wa kuweza kumkumbusha Uledi, Nchimbi, Membe na Chiume tamaduni za kiafrika kuhusu rasilmali maji au ni kwamba mnabania hekima zenu makusudi tu kabla ya kima kufunguliwa milango hapa?

Sote kwa pamoja tafakarini sana hili kila mmoja kwa wakati wake!!!!!!!!!!!

Tunachotafakari ni nini sasa hapo,
yaani mawimbi ya maji ya ziwa yawe yanahamisha mpaka kila wakati, yaani in 50 years to come some km. za nchi kavu ziwe zimemomonyolewa na kusomeka ni sehemu ya malawi!!!
haihitaji methali wala nahau, mpaka unapita katikati ya ziwa. Hutaki unadundwa!!!
 
WATANZANIA KWA WAMALAWI UWEZO TUNAO WA KUSHINDA DHAMIRA YA MKATABA WA KALE WA 'MAKUBALINO YA KISIWA CHA HELIGOLANDA YA 1890' ENYE KUTETEA MASLAHI YA WAKOLONI (WAINGEREZA NA WAJERUMANI) WA MIAKA HIYO KUTUGOMBANISHA HIVI LEO BDLA YAKE TUKACHAGUA KUTAMBUA JUKUMU LA KUSIMAMIA MASLAHI YA WAAFRIKA KATIKA MATAIFA HAYA MAWILI NA KUDUMISHA UJIRANI MWEMA KATIKA HAKI STAHIKI

Ndani ya miaka mitano ijayo WaMsumbiji, WaMalawi kwa WaTanzania;

kipindi si kirefu sana huenda watu tukafikiria na tukapanga kushiriki MCHEZO WA KIMATAIFA WA KUOGELEA na sote kwa pamoja tukashindana kama ndugu kuogelea tangu kule chini kabisa mwa Ziwa Nyasa na tukanywa chai ya pamoja kwa pale Domila Bay nchini Malawi asubuhi huku tukitafuna Chichewa chidogo chidogo kabla ya kuanza huo mchezo wa kimataifa wa kuogelea na kushindana kuendesha mitumbwi.

Mara baada ya chai hiyo watu tukaanza na safari yetu kuogelea na tukaendelea kuogelea na kuja kula chakula cha mchana pale Olivenca nchini Msumbiji kwa ndugu zetu Wamakonde na Wamakua na kubadilishana nao utani walau nao wakituonyesha jinsi gani lugha ya Kireno ilivyokua ikitafunwa kiaafrika kupitia shimo kati ya pua na mdomo mpaka mkoloni wao akawa haambui kitu pale.

Naam, naona picha kama hiyo ikitujia hivi karibuni na watu tukaendelea naa safari mara baada ya mlo wa mchana na mwisho wa spoti zima watu tukaja tukapumzikia pale maeneo ya Tukuyu nchini Tanzania huku watu tukila Wali Orijino wa Kyela pale kwa Dr Mwakyembe kwa jioni huku akinadada wa kinyaki wakiwafafanulia Wamalawi naa WaMsumbiji siri ya kuwa na umbo zuri ya kupendeza na nguvu sawa tu na akina baba au hata zaidi.

Ndio, nasema hili linawezekana kabisa huku wanamichuano hiyo wakiendelea kutumbuizwa na ngoma asili za mataifa hayo matatu, kwingineko Prof J akisemaa nao pamoja na lile kundi la 'The Very Best' kutoka Malawi huku akina Harry Waya na Mohammed Mwameja wakiendelea kujikumbusha enzi zao katika viwanja vya kabumbu miaka hiyo na nini kifanyike sasa ili timu za Malawi na Tanzania nao wakwa wakali kama ile timu ya wenzetu wa Msumbiji.

Kwa uhakika hii itakua ni MBINU STAHIKI YA KUPIGANA VITA yenye lengo la kudumisha zaidi ujirani mwema na kuendelea kula pamoja hii rasilmali maji pale Ziwa Nyasa bila choyo ya taifa moja kujaribu kubania nyingine visivyo haki.

Mzee Uledi na Nchimbi fanyeni kazi kwa kushiorikiana zaidi na taasisi zetu nyinginezo ili ubunifu usaidie kuweka mambo sawa bila mikwaruzano tena na tena.

Waheshimiwa Membe na Chiume fikirieni juu ya hilo taangu sasa. Mkuu NIKUPATEJE nadhani sasa hapo ni pazuri zaidi kutupata maana UWEZO HUO TUNAO tukiamua.

Mkuu,

Kwa kumbukumbu zangu kama ni kutumia michezo bali hilo limefanyika sana tena enzi za Nyerere. Kumbuka michuano ya CECAFA ilianza kwa timu za Kenya, Tanzania Bara, Uganda na Zanzibar. Baadaye Zambia na Malawi wakaomba kujiunga kabla ya Zimbabwe kujiunga mwaka 1980.

Lakini kumbukumbu zangu zinaniambia pamoja na kwamba mwaka 1979 Zambia tuliwahi kuitoa kwa goli la Peter Tino na tukaingia African Cup lakini Malawi wametunyanyasa sana kwenye soka na walinyanyasa sana East Africa.

Mwaka huohuo Tanzania Bara ilitolewa na Malawi kwenye semi-final ya Challenge Cup. Kikosi cha Malawi kilikuwa moto sijawahi kuona. Golini alikuwepo kipa ambaye sintamsahau yaani Boniface Maganga. Alikuwa ni mmoja wa makipa wachache sana hapa Africa kama yeye kiasi kwamba Mfalme Sobhuza wa Swaziland aliwahi kumuambia achague mmoja wa mabinti zake ampe!

Unajua sifa ya huyu Boniface Magang ilianzia wapi? Sifa yake ilianzia mwaka huo 1979 siku Malawi ilipoitoa Tanzania Bara kwenye semi-finals. Mpira uliisha sare dakika 120 na zikawekwa penalty tano zipigwe. Boniface Maganga alipangua penalty kadhaa za Tanzania Bara na nakumbuka ya mwisho ilipigwa na Ahmed Amasha ambayo Boniface aliipangua na kuibwaga Tanzania Bara.

Malawi hawakuishia hapo. Finali wakaingia na wenyeji Kenya, enzi hizo za Harambee, Nyayo. Mbele ya Moi Malawi wakaibwaga Kenya na wakachukua kombe mwaka huo.

Kikosi cha Malawi mwaka huo na baadaye kilikuwa kinatisha. Golini alikuwepo Boniface Maganga. Washambuliaji walikuwepo akina Harry Waya na Kina Phiri. Mabeki sentahafu iliongizwa na Jack Chamangwana yaani huyu aliyekuwa kocha wa Yanga juzijuzi. Malawi ilikuwa haikamatiki kimichezo.

Mimi ni mshabiki wa Simba lakini kama kuna timu niliyokuwa naiogopa kwenye CECAFA ilikuwa ni Limbe Life ya Malawi. Kwani ilipokuwa ikikutana na Simba akina Thuwein Ally, George Kulagwa walikuwa hawafurukuti kabisa.

Hivyo, kama ni suala la michezo, tunaojua historia kama hizi tunajua haya na inawezekana yalitufanya tuwe tunachekeana na Malawi kwa anga hiyo.
 
wenzako wameisha toka huko kwenye article I watu wana zungumzia kipengela cha sita, sasa cha kujadili kama unaakili sasa hivi ungekuwa una discuss hicho kitu, lakini wewe unaonekana una penda negativity , umeganda hapo hapo kwenye paragraph ya kwanza.

Sipendi kuita mtu mbumbumbu lakini umbumbumbu unapojitokeza sintaacha kutamka kama hapa. Nimejibu post namba 55 alichotaka (Bonyeza hapa). Kuhusu article VI unayosema ni mbumbumbu tu ambaye angeweza kuuliza maana nayo nilishaiongelea (Bonyeza hapa)
 
Mkuu mimi sipo kwenye sisi, wale au wao... mimi naongelea sheria kama invyosema.., Treaty Yes mnaweza mkapata leo na baada ya miaka mkavunja hayo mapatano while sheria (International Law) ni sheria mpaka pale itakavyobadilishwa..., sasa mkuu umesema kama international law inasema mpaka upo in the middle of body of water ukasema Kenya watatumia hiyo kuhusu Mt Kilimanjaro..., ndio maana nikakuuliza Is Mount Kilimanjaro a Body of water... ?

Na kuhusu hii treaty kuna sehemu yoyote waliyosema kwamba withdrawal from treaty hairuhusiwi ?, after all the parties which agreed to this treaty are no longer the parties which are now concerned

Taja kifungu na utuandikie kinavyosema kama sisi tulivyotaja tulicho-refer ili tujue kwamba hubabaishi.
 
Taja kifungu na utuandikie kinavyosema kama sisi tulivyotaja tulicho-refer ili tujue kwamba hubabaishi.

kama wewe si mzandiki weka hapa hiyo heligoland treaty tuijadili, naona unadokoa baadhi ya vifungu na kuvitumia kuwaita wenzio mambumbumbu.
 
kama wewe si mzandiki weka hapa hiyo heligoland treaty tuijadili, naona unadokoa baadhi ya vifungu na kuvitumia kuwaita wenzio mambumbumbu.

Kama wewe si mbumbumbu na hukuuona wakati umeletwa humu kawaambie na mambumbumbu wenzako nimeuweka tena hapa japo kesho watakuja mambumbumbu wenzako wapya watauliza kama ulivyouliza leo wewe.

Na ukishamaliza uache umbumbumbu wa kutaja sheria unazotetea bila kuleta vifungu vyake hapa na mambumbumbu wenzako waelimishe hivyo kabla ya kuja hapa jamvini:

**********

Volume 5. Wilhelmine Germany and the First World War, 1890-1918
Anglo-German Treaty [Heligoland-Zanzibar Treaty] (July 1, 1890)
This treaty temporarily settled colonial disputes between Germany and Great Britain. It recognized Tanganyika as a German colony; in return, the Germans abstained from further encroaching into British Kenya. The agreement ceded Heligoland, an island off the coast of Schleswig-Holstein in the North Sea, to Germany. Because the treaty appeared to abandon German colonial claims to much of east Africa, it unleashed a storm of nationalist protest at home.
The undersigned:
Chancellor and General of the Infantry von Caprivi,
Legation Councilor at the Foreign Office Dr. Krauel,
Her Britannic Majesty's Ambassador Extraordinaire and Plenipotentiary Sir Edward Baldwin Malet,
Chief of the African Department of Her Majesty's Foreign Office Sir Henry Percy,
have, on behalf of their respective governments, reached the following agreement after deliberating on various issues pertaining to the colonial interests of Germany and Great Britain:

Article I
In East Africa, Germany's sphere of influence is demarcated thus:
1. To the north by the line that commences on the northern bank of the mouth of the Umba River, runs directly to Lake Jipe and, after passing along the eastern shore and around the northern shore of that lake, crosses the Lumi River and bisects the territories of Taveta and Chaga. Skirting the northern slope of the Kilimanjaro range, this line continues to the point on the eastern shore of Lake Victoria Nyanza that is intersected by the 1st degree of south latitude. It crosses the lake on this parallel and follows it to the border of the Congo Free State, where it terminates. It is understood, though, that the German sphere of interest on the western side of the aforementioned lake does not include Mount Mfumbiro. Should it turn out that this mountain lies to the south of the aforementioned parallel of latitude, the line of demarcation shall be drawn so as to exclude the mountain from the German sphere of interest; but the line shall nonetheless terminate at the previously described point.

2. To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the mouth of the Songwe River. It then continues up that river to its intersection point with the 33rd degree of east longitude. The line continues along the river until its closest point with the border of the geographical Congo Basin as described in Article I of the Berlin Conference and marked on the map appended to its ninth protocol. From here the line runs directly to the previously described border, follows this to the point of intersection with the 32nd degree of east longitude, turns and continues directly to the meeting point of the northern and southern branches of the Kilambo River. It follows that river until it enters Lake Tanganyika. The course of the planned border has been specified in accordance with the map of the Nyasa Tanganyika Plateau that was officially drawn up for the British government in 1889. 3. To the west by the line that coincides with the border of the Congo Free State between the mouth of the Kilambo River and the 1st degree of south latitude. In Southwest Africa, Great Britain's sphere of influence is demarcated thus: 1. To the south by the aforementioned line running from the mouth of the Umba River to the point on the border of the Congo Free State intersected by the 1st degree of south latitude. It includes Mount Mfumbiro. 2. To the north by the line that, beginning on the shore of the northern bank of the Juba River, runs along this bank and traces the border of the area reserved for Italian influence in Gallaland and Abyssinia. It extends to the Egyptian borders. 3. To the west by the Congo Free State and by the western watershed of the Upper Nile Basin.

Article II
To implement the demarcation line as described in the previous article, Germany shall withdraw from its protectorate over Witu in favor of Great Britain. Great Britain agrees to recognize the sovereignty of the Sultan of Witu over the area extending from Kipini to the point opposite the Island of Kweihu defined as the border in 1887. Furthermore, Germany shall give up its protectorate over the coastal area bordering on Witu and extending to Kismayo. It shall also renounce its claims both to the territories on the mainland north of the Tana River and to the islands of Patta and Manda.

Article III
In Southwest Africa, Germany's sphere of influence is demarcated thus: 1. To the south by the line that commences at the mouth of the Orange River and continues up its northern bank to its intersection point with the 20th degree of east longitude.
2. To the east by the line that commences at the aforementioned point and follows the 20th degree of east longitude to its intersection point with the 22nd degree of south latitude. The line then traces this degree of latitude eastward to its intersection with the 21st degree of east longitude, follows this degree of longitude northward to its intersection with the 18th degree of south latitude, runs along this degree of latitude eastward to its intersection with the Chobe River. Here it descends the thalweg of the main channel until it meets the Zambezi, where it ends. It is understood that under this arrangement Germany shall be granted free access from its protectorate to the Zambezi by means of a strip of land not less than twenty English miles wide at any point. Great Britain's sphere of influence is bounded to the west and northwest by the previously described line and includes Lake Ngami. The course of the planned border has been specified in general accordance with the map officially prepared for the British government in 1889. The fixing of the southern border of the British territory of Walvis Bay shall be subject to arbitration unless both powers reach a border agreement within two years after the signing of this treaty. Both powers agree that, as long as the border issue is unresolved, not only passage but the transport of goods through the disputed territory shall be free for subjects of both powers. They also agree that their subjects shall be treated equally in every respect in this territory. No duty shall be levied on goods in transit and the territory shall be deemed neutral until such time as this issue is resolved.

Article IV In West Africa: 1. The border between the German protectorate of Togo and Great Britain‟s Gold Coast Colony begins at the border mark determined by both powers‟ commissioners during negotiations on July 14 and 28, 1869. It extends northward to the parallel circle at 6° 10„ north latitude. From there it traces this degree of latitude westward to the left bank of the Aka River and ascends along the thalweg to the parallel of latitude at 6° 20‟ north latitude. It follows this degree of latitude westward to the right bank of the Dchawe or Shavoe River and runs along this bank to the parallel of latitude defined by the intersection of the Deine River and the Volta. It then traces this degree of latitude westward to the Volta. Here it ascends the left bank of the Volta to the neutral zone agreed upon in the Treaty of 1888 that starts at the junction of the Dakka River and the Volta. Both parties agree upon conclusion of this treaty to withdraw all their civil servants and employees from the territory that is assigned to the other by the borders defined above. 2. After it has been satisfactorily proven to both governments that no river exists on the Gulf of Guinea corresponding to the river that is marked on maps as the Rio del Rey and mentioned in the Treaty of 1885, a provisional borderline shall be adopted between the German territory of Cameroon and the adjoining British territory. This borderline shall start at the head of the Rio del Rey Creek and run directly to the point at roughly 9° 8‟ of east longitude marked as "Rapids" on the British Admiralty map. 4

Article V It is understood that treaties or agreements concluded by, or for the benefit of, one of the two powers in the areas north of the Benue River shall not interfere with the other power‟s right to engage in trade, freely and without duties, on routes to and from the shores of Lake Chad. Both powers are obliged to report to each other all agreements that they reach in the territories between the Benue and Lake Chado.

Article VI Any correction of the demarcation lines described in Articles I to IV that becomes necessary due to local requirements may be undertaken by agreement between the two powers. It is understood, in particular, that commissioners will meet as soon as possible to undertake such a correction with regard to the borders described in Article IV.

Article VII The two powers agree that they shall not interfere in the sphere of influence assigned the other by Articles I to IV. They shall not, in the other‟s sphere of influence, make acquisitions, sign treaties, accept sovereign rights or protectorates, or prevent the other from expanding its influence. It is understood that companies or individuals subject to one power shall not be permitted to exercise sovereign rights in the sphere of influence assigned the other, except with the consent of the latter.

Article VIII Both powers agree to apply the provisions of the first five articles of the General Act of the 1885 Berlin Conference in all areas of their territories located within the free trade zone described in this Act and to which its first five articles are applicable on the day of the conclusion of the present treaty. According to these provisions, trade is free; shipping is free on lakes, rivers, canals and their ports for both flags; unequal treatment as regards transport or coastal trade is prohibited; goods of either origin shall not be subject to taxes other than those raised to cover trade-related outlays, unequal treatment excluded. Transit duty may not be levied, and monopolies and privileged commercial treatment may not be granted. The subjects of both powers have the right to settle freely in either power‟s territories, provided that these are located in the free trade zone. It is understood, in particular, that, in accordance with these provisions, the transport of goods by both sides shall not be subject to any obstacles or transit duties between Lake Nyasa and the Congo Free State, between Lake Nyasa and Lake Tanganyika, on Lake Tanganyika, and between this lake and the northern border of both spheres of influence.

Article IX
Trading concessions, mining concessions, and property rights that companies or private persons subject to one power have acquired within the sphere of interest assigned the other shall be recognized by this latter power insofar as their validity is satisfactorily proven. It is 5
understood that concessions shall be pursued in accordance with valid local laws and regulations.

Article X The missionaries of both powers shall enjoy full protection in all territories in Africa that belong to one of the two powers or are in its sphere of influence. Religious tolerance, freedom of all forms of worship, and freedom of religious instruction shall be ensured.

Article XI Great Britain shall bring to bear her full influence on the Sultan of Zanzibar to facilitate an amicable agreement by which the Sultan unconditionally cedes to Germany the Island of Mafia and his territories on the mainland (including dependencies) that are referred to in the existing concessions of the German East Africa Company. It is understood that His Highness shall receive fair compensation for the loss of revenue resulting from this cessation. Germany agrees to recognize the British protectorate over the remaining territories of the Sultan of Zanzibar, including the islands of Zanzibar and Pemba. Germany will also recognize the British protectorate over the territories of the Sultan of Witu and the adjacent territory extending to Kismayo, from which the German protectorate will be withdrawn. It is understood that, if the cessation of the German coast has not been made before Great Britain assumes its protectorate over Zanzibar, Her Majesty‟s government, upon establishment of said protectorate, shall use all its influence to induce the Sultan to make the cessation as soon as possible in return for fair compensation.

Article XII 1. Pending approval by the British parliament, Her British Majesty shall grant sovereignty over the Island of Heligoland and all its facilities to His Majesty the German Kaiser. 2. The German government shall grant natives of the ceded territory the right to choose British citizenship by a declaration to be made by themselves or, in the case of underage children, by their parents or guardians before January 1, 1892. 3. Natives of the ceded territory and their children born before the day on which this treaty is signed shall be exempt from compulsory military service in the German army and navy. 4. The currently valid local laws and practices will remain unchanged wherever possible. 5. The German government agrees not to raise, until January 1, 1910, the customs tariffs currently in force in the ceded territory. 6. All property rights acquired by individuals or existing corporations in Heligoland under the British government shall remain intact. Any obligations linked to these shall pass to His Majesty the Emperor of Germany. The term "property rights" includes Lloyd‟s signaling rights. 7. The rights of British fishermen shall remain unaffected, including the right to anchor in all weather, take on provisions and water, make repairs, transship goods, sell fish, land and dry nets. 6

Berlin, July 1, 1890 von Caprivi R. Krauel Edward B. Malet H. Percy Anderson Source: Das Staatsarchiv, Sammlung der offiziellen Aktenstücke zur Geschichte der Gegenwart [The State Archive, Collection of Official Documents Relating to Contemporary History]. Leipzig, Verlag von Duncker & Humblot, 1891, vol. 51, p. 151. Translation: Adam Blauhut
 
IF ONLY MALAWI'S HISTORIC ACHIEVEMENTS IN FOOTBALL COULD BE TRANSFERRABLE TO MEAN THAT OF THE POLITICAL CLASS IN THE COUNTRY, A DISPUTED CLING TO THE OLD-TIMER COLONIAL PACT TO REPRESENT THE GREAT GRANDCHILDREN OF THE COLONISED WOULD EASILY BECOME A THING OF THE PAST TODAY

Ndugu Nikupateje, there is no doubt tha Malawi, though such a small-size nation in our southern borders, has produced big names in football in history.

However, I BEG TO BRING IN A CHALLENGE THAT EVEN IN WATER SPORTS SUCHLIKE LEGENDS can very well be realised and help create jobs for our youths and more so help in promoting good neighbourliness courtesy of a fairly demarcated Lake Nyasa; a gift water body that unites us down there. For real, Malawi's big guns in soccer brings pride to your country down there but a lot more in achievements can well be accessible in a highly diversified kinds of sport in offer to help minimise the monotony of only sticking to soccer form male citizens in isolation.

Ndio, we very well remember your great boys in history in soccer. Malawian soccer legends such as Kinnah Electric Phiri, Charles Kagwa, Henry Moyo, Kanjedza Kamwendo, Damiano Malefula, Yasin Osman, Henry Kapalamula, Mustafa Munshi, Dennis Saidi, Spy Msiska,Elywin Mwafulirwa,Mike Mkuntha,Bosco Munthali,Thom Kazembe,Topsy Msuku,Harvest Kanyenda, and Tonny Mkandawire.

Other highstanding football perfomers in Malawi included person likeNgulube,Greyson Simika,Elton Mkondowaguluka,
Harry Barbed Waya, Lawrence Lule Waya, Gilbert Chirwa, Chauncy Vinny Gondwe, Mabvuto Lungu and Patrick Mabedi just to mention a few are some of the players that have come from the team's ranks. Kinnah Phiri is current coach for Malawi National Team.


Recent stars plying their trade in South Africa such as Peter Mponda, Robert Ng'ambi, Fisher Kondowe, Grant Lungu, Jimmy Zakazaka, Sankhani Mkandawire and Swadick Sanudi have also sprung out of the Big Bullets FC.
 
Mkuu OYAOYA, ni kwa makusudi gani mwenzetu umeamua KUPINDISHA kauli ya rais juu ya mgogoro wetu pale Ziwa Nyasa???

Mwanzoni niliposoma maneno yako niliachwa mdomo wazi na madai yako juu ya nini alichokisema Mhe Rais Kikwete. Lakini pale nilipoingiwa na wasiwasi zaidi na kuanza kutafuta taarifa zaidi ndipo nikakutana na kauli yake moja kwa moja pale kwenye mahojiano yake na BBC.

Kwa jinsi maelezo ya Rais Kikwete na madai yako wewe yalivyo tofauti kama mbingu na dunia hakika ungekua jirani na mimi lazima ningekulambisha kibao cha nguvu chenye kufunika uso zima kwa kuonyesha kukerwa na upotoshaji wako wa makusudi.

Anyway, njoo twende kuogelea pale ziwa Nyasa tangu Domila Bay mpaka Kyela.

Wakuu,
JK kawataka wanasiasa kuacha kutoa kauli za kichochezi kwa kuwa tunaweza tusiwe na ubavu wa kuwapiga Malawi. Mpaka upo ukingoni mwa ziwa upande wa Tanzania. Majadiliano yanaendelea kutafuta wa kutusuluhisha kwa kuwa Malawi wamekataa MAOMBI ya Tz kuweka mpaka katikati ya ziwa kama sheria ya kimataifa inavyotaka.

My take: JK ameonyesha ushupavu na ukomavu kisiasa kwa kutotoa kauli za kuiprovoke Malawi lakini lengo kufanikisha mpaka uwe katikati ya ziwa kwa gharama YOYOTE tukianza na mazungumzo
Source: TBC
 
Wakuu wana-JF wenzangu,

ombi langu ni kwamba endapo mmoja wetu anataka kushiriki mijdala juu ya kle ka-gogoro ka Ziwa Nyasa, kwanza ajitahidi KUINGIA DIPU SANA na kujiridhisha na maeneo mengi sana juu ya jambo hili.

Kimsingi tujitahidi sana kujizuia na kudandia ovyo mijadala tulimo vipofu maana hata pale unapoharibu jambo na mtiririko wa mambo kwenye meza ya wengine, masikini ya Mungu, wala hutoelewa kitu humo na wala TUSIANZE KUKURUPUKA TU OVYO HATA KATIKA HAYA MASUALA NYETI NA MUHIMU SANA kwa mustakabali ya mataifa yetu haya mawili kwa maana ya Tanzania na Malawi.

Lakini kama itadhihirika kwamba upotoshaji ni jadi na kwamba kamwe mtu hawezi kujizuia kulitekeleza basi kuna maeneo mengi na salama zaidi kurushia rushia tu maneno ovyo tu kama vile 'Zitto hili, Zitto lile, Dr Slaa hili, Mhe Spika lile ...' lakini porojo kama hizi tusizivushe mipaka kwenda kwenye mambo nyeti kama kugusia negatively mjadala tunaoendelea nao hivi sasa na ndugu zetu WaMalawi.

Lunch njema kwa sasa basi.
 
refer to article 8 of the treaty.as under
Article VIII

Both powers agree to apply the provisions of the first five articles of the General Act of the 1885 Berlin Conference in all areas of their territories located within the free trade zone described in this Act and to which its first five articles are applicable on the day of the conclusion of the present treaty. According to these provisions, trade is free; shipping is free on lakes, rivers, canals and their ports for both flags; unequal treatment as regards transport or coastal trade is prohibited; goods of either origin shall not be subject to taxes other than those raised to cover trade-related outlays, unequal treatment excluded. Transit duty may not be levied, and monopolies and privileged commercial treatment may not be granted.

The subjects of both powers have the right to settle freely in either power‟s territories, provided that these are located in the free trade zone.

It is understood, in particular, that, in accordance with these provisions, the transport of goods by both sides shall not be subject to any obstacles or transit duties between Lake Nyasa and the Congo Free State, between Lake Nyasa and Lake Tanganyika, on Lake Tanganyika, and between this lake and the northern border of both spheres of influence.
 
Back
Top Bottom