Malawi kuna watoto wakali sana.

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,695
29,030
Screenshot_20211108_212445.jpg
Screenshot_20211109_171422.jpg
Screenshot_20211109_171349.jpg
 
Tangu nimfaham yule mwandish wao mchafu mchafu wa BBC aliyefarki basi ni kawa na taswira ya kipuuzi nchi yote iko hivyo. Kumbe nilikosea Aisee kuna vifaa pisi yani huu ukanda wote wa SADC Mungu katujalia wasichana wazuri sana yani Malawi ni sheeda.
Screenshot_20211106_102521_com.android.chrome.jpg
 
Waache mambo yao....kuna lake nyasa na sio lake Malawi
Mambo yao yepi mgerasi? Hilo ziwa ni lao na mimi nawatetea. Kwanini sisi tusiwe na kiasi? Tuna Victoria, natron, Tanganyika, manyara na vidimbwi kadhaa vya kutosha. Na tuna fukwe ndefu kutoka karibu na Cabo Delgado hadi Tanga.

Ni ziwa Malawi siyo nyasa nawaunga mkono nchi yenye watoto wakali.

Malawi now my best and favorite country after Tanzania.
 
Mambo yao yepi mgerasi? Hilo ziwa ni lao na mimi nawatetea. Kwanini sisi tusiwe na kiasi? Tuna Victoria, natron, Tanganyika, manyara na vidimbwi kadhaa vya kutosha. Na tuna fukwe ndefu kutoka karibu na Cabo Delgado hadi Tanga.

Ni ziwa Malawi siyo nyasa nawaunga mkono nchi yenye watoto wakali.

Malawi now my best and favorite country after Tanzania.


Hawa wanadai na mkoa wa Mbeya wote ni mali yao kwasababu duniani hakuna mpaka kati ya nchi na nchi uliopo ufukweni mwa Water body.
 
Back
Top Bottom