Mambo yao yepi mgerasi? Hilo ziwa ni lao na mimi nawatetea. Kwanini sisi tusiwe na kiasi? Tuna Victoria, natron, Tanganyika, manyara na vidimbwi kadhaa vya kutosha. Na tuna fukwe ndefu kutoka karibu na Cabo Delgado hadi Tanga.Waache mambo yao....kuna lake nyasa na sio lake Malawi
Mambo yao yepi mgerasi? Hilo ziwa ni lao na mimi nawatetea. Kwanini sisi tusiwe na kiasi? Tuna Victoria, natron, Tanganyika, manyara na vidimbwi kadhaa vya kutosha. Na tuna fukwe ndefu kutoka karibu na Cabo Delgado hadi Tanga.
Ni ziwa Malawi siyo nyasa nawaunga mkono nchi yenye watoto wakali.
Malawi now my best and favorite country after Tanzania.
You're jocking buraza...
😂😂😂Wewe ndiye yule aliyevaa kapero uliyegeuza shingo kuwakodolea hao wadada??!!🤣
kwa kweli...yan malawi kwa Tz haingii hata roboYou're jocking buraza...
We si unaona hata hizo picha zenye alizoweka mtoa mada,yaani haziendani kabisa na mada aiseee.kwa kweli...yan malawi kwa Tz haingii hata robo
Acha kufananisha Kilimo Cha Vanilla na vitu vya Kijinga.Sijaona Lolote Hapo Zaidi Ni Kama Kilimo Cha Vanilla Na Uuzaji Wake Ulivyojaa Ujanjaujanja
Ashakum sio matusi.. Bado sijaona