Malaria Haikubaliki

na kweli, hapa malaria itatuskia nyavuniii!
attachment.php
 

Attachments

  • IMG_3875.JPG
    IMG_3875.JPG
    1.5 MB · Views: 106
CCM haikubaliki, tushirikiane kuitokomeza...

Anne Makinda hakubaliki, tushirikiane kumtokomeza...

Jaji Werema hakubaliki, tushirikiane kumtokomeza...

Selina Kombani hakubaliki, tushirikiane kumtokomeza...

Pindi chana hakubaliki, tushirikiane kumtokomeza...
 
sera ya tanzania sii elimination ya malaria bali kuituliza tuu malaria control programme
 
Tena ile Malaria iliyo Sugu ndio kabisaa isipewe nafasi yoyote ile ya kujitanua!!
Mods, katika kufanikisha hili popote uonapo chochote kutoka kwa Malaria Sugu piga BAN tu!!!!
 
Tena ile Malaria iliyo Sugu ndio kabisaa isipewe nafasi yoyote ile ya kujitanua!!
Mods, katika kufanikisha hili popote uonapo chochote kutoka kwa Malaria Sugu piga BAN tu!!!!

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom