Malalamiko ya Wanafunzi wa Kada ya Afya kuhusu Mitihani ya 'Supplementary'

Habari,

Sisi ni wanafunzi wa afya ambao mwaka jana mitihani ilivuja kwa baadhi ya Vyuo na uamuzi uliofikiwa ni kufutia matokeo na kufanya mitihani upya jambo ambalo ni sawa kabisa.

Shida imekuja hivi matokeo yalivyotoka wanafunzi waliofeli ni wengi kuliko walio faulu na pia wanafunzi wengi wamepata supplementary.

Tatizo limekuja kwamba kama mtu umepata supplementary unarudi nyumbani unakaa miezi nane ndio unarudi kufanya mitihani hyo ya supplementary jambo ambalo litaumiza wengi na litapelekea madhara makubwa.

Mapendekezo yetu tunaomba serikal ituangalie kwa jicho la tatu kama walivyo kuwa wanafanya kwa miaka ya nyuma wafanye hivyo hivyo na kwenye sheria mwanafunzi anatakiwa apewe supplementary ndani ya week nne mpaka sita.

MAONI YETU:
1. Turuhusiwe kuwafanya mitihani hiyo ya supplementary na March intake
2. Kama kuna garama ambazo zitahitajika basi kila mwenye supplementary atozwe pesa
3. Kama yote yanashindikana basi waruhusu watu wa carry hizo supplementary huku wanaendelea mwaka wa tatu na ikifika huo mwezi wa nane wafanye hizo supplementary

NI MAONI YANGU KUWA HILI LITAFANYIWA KAZI
@nacte
Wizara ya Afya Tanzania
 
Huyo aliyefanya hayo maamuzi, Mungu amuangalie huko alipo. Na aliyevujisha hiyo mitihani huko juu, Mungu amshughulikie, kosa wanafanya wenye vyeo, adhabu mnawapa watoto.

Watoto wanapataje mitihani bila juu kuwa na leakage, mlisema watu watawajibishwa, sijasikia mtu juu huko juu kuwajibishwa.
Wizara ya afya, Nacte mjiangalie na hivyo vyeo.

Hamuwez tesa watoto wakae nyumban mwaka mzima (miez 8) ndio mtu akafanye sup.

Stress ya Kwanza mmewapa ambayo adhabu ya kurudia mitihani ni sawa kabisa.
Sasa hivi hii tuiteje? Kukatisha tamaa watoto wasisome ama nini?

Hivi katika familia zenu hakuna watoto? Au nyie binafsi hamna watoto?
Mnawapa stress watoto Sana, masomo magumu, bado tena mnawakalisha nyumbani miezi 8, mm naita mwaka mzima sabab watoto toka mwaka Jana September wapo nyumbani,. December wamerudia.
Mmetoa matokeo, Sasa mnawaweka miezi 8.
Hivi akili za mtu mzima kweli hizi? Sup gani miezi 8? Ktk Sheria ipi?
Jipangeni huko juu.
@nacte
Wizara ya Afya Tanzania
 
Mtihani utafanyika March 02
Screenshot_20220204-134652_WPS Office.jpg
 
Habari,

Sisi ni wanafunzi wa afya ambao mwaka jana mitihani ilivuja kwa baadhi ya Vyuo na uamuzi uliofikiwa ni kufutia matokeo na kufanya mitihani upya jambo ambalo ni sawa kabisa.

Shida imekuja hivi matokeo yalivyotoka wanafunzi waliofeli ni wengi kuliko walio faulu na pia wanafunzi wengi wamepata supplementary.

Tatizo limekuja kwamba kama mtu umepata supplementary unarudi nyumbani unakaa miezi nane ndio unarudi kufanya mitihani hyo ya supplementary jambo ambalo litaumiza wengi na litapelekea madhara makubwa.

Mapendekezo yetu tunaomba serikal ituangalie kwa jicho la tatu kama walivyo kuwa wanafanya kwa miaka ya nyuma wafanye hivyo hivyo na kwenye sheria mwanafunzi anatakiwa apewe supplementary ndani ya week nne mpaka sita.

MAONI YETU:
1. Turuhusiwe kuwafanya mitihani hiyo ya supplementary na March intake
2. Kama kuna garama ambazo zitahitajika basi kila mwenye supplementary atozwe pesa
3. Kama yote yanashindikana basi waruhusu watu wa carry hizo supplementary huku wanaendelea mwaka wa tatu na ikifika huo mwezi wa nane wafanye hizo supplementary

NI MAONI YANGU KUWA HILI LITAFANYIWA KAZI

====

UPDATES:

=====

Baada ya Malalamiko haya, Serikali imetolea ufafanuzi na kuwaruhusu kuendelea na Mitihani.

Zaidi, soma: Ummy Mwalimu: Mtihani wa Awali kwa Madaktari Watarajali, uendelee kufanyika bila Kumzuia Mtarajali kujiunga na Mafunzo
Achana na kufeli, lakini hilo ndilo fundisho ili msome kwa bidii
 
Back
Top Bottom