Malalamiko ya Wanafunzi wa Kada ya Afya kuhusu Mitihani ya 'Supplementary'

Elizer

Member
Jan 31, 2022
5
7
Habari,

Sisi ni wanafunzi wa afya ambao mwaka jana mitihani ilivuja kwa baadhi ya Vyuo na uamuzi uliofikiwa ni kufutia matokeo na kufanya mitihani upya jambo ambalo ni sawa kabisa.

Shida imekuja hivi matokeo yalivyotoka wanafunzi waliofeli ni wengi kuliko walio faulu na pia wanafunzi wengi wamepata supplementary.

Tatizo limekuja kwamba kama mtu umepata supplementary unarudi nyumbani unakaa miezi nane ndio unarudi kufanya mitihani hyo ya supplementary jambo ambalo litaumiza wengi na litapelekea madhara makubwa.

Mapendekezo yetu tunaomba serikal ituangalie kwa jicho la tatu kama walivyo kuwa wanafanya kwa miaka ya nyuma wafanye hivyo hivyo na kwenye sheria mwanafunzi anatakiwa apewe supplementary ndani ya week nne mpaka sita.

MAONI YETU:
1. Turuhusiwe kuwafanya mitihani hiyo ya supplementary na March intake
2. Kama kuna garama ambazo zitahitajika basi kila mwenye supplementary atozwe pesa
3. Kama yote yanashindikana basi waruhusu watu wa carry hizo supplementary huku wanaendelea mwaka wa tatu na ikifika huo mwezi wa nane wafanye hizo supplementary

NI MAONI YANGU KUWA HILI LITAFANYIWA KAZI

====

UPDATES:

=====

Baada ya Malalamiko haya, Serikali imetolea ufafanuzi na kuwaruhusu kuendelea na Mitihani.

Zaidi, soma: Ummy Mwalimu: Mtihani wa Awali kwa Madaktari Watarajali, uendelee kufanyika bila Kumzuia Mtarajali kujiunga na Mafunzo
 
Hii si haki kwa kweli, hebu wazazi tulifikirie hili swala kwa umakini, wizara husika inastahili iwajibike katika hili swala. Haiwezekani insterest za watu wachache ziharibu career za watoto wetu.
 
Kwakweli hii sio haki kwasababu Kila mwanafunzi anahaki ya kufanya supplimentary..pia kukaa nyumban kwa muda wa miez nane jmn bila masomo mwanafunzi anaweza akasahau Kila kitu kuhus masomo yake na anaweza kujishughulisha na mamb mengn ambay yana athari kwake na kwa wazazi wake pia..mbona vyuo vikuu wanafunzi had wanacarry masomo yao..tafadhali serikali iwasaidie wanetu.
 
Huku ni kutunyanyasia watoto na kutukomoa sisi wazazi.....halikubaliki hata kidogo.

Wabunge wetu ni vyema walisemee hili.
 
Polen sana,mihangaiko yote hyo na bado ajira hakuna ma.mae

Alisikika MD mmoja akiongea pande za kasikazin,

CO jitafakari
 
Huyo aliyefanya hayo maamuzi, Mungu amuangalie huko alipo. Na aliyevujisha hiyo mitihani huko juu, Mungu amshughulikie, kosa wanafanya wenye vyeo, adhabu mnawapa watoto.

Watoto wanapataje mitihani bila juu kuwa na leakage, mlisema watu watawajibishwa, sijasikia mtu juu huko juu kuwajibishwa.
Wizara ya afya, Nacte mjiangalie na hivyo vyeo.

Hamuwez tesa watoto wakae nyumban mwaka mzima (miez 8) ndio mtu akafanye sup.

Stress ya Kwanza mmewapa ambayo adhabu ya kurudia mitihani ni sawa kabisa.
Sasa hivi hii tuiteje? Kukatisha tamaa watoto wasisome ama nini?

Hivi katika familia zenu hakuna watoto? Au nyie binafsi hamna watoto?
Mnawapa stress watoto Sana, masomo magumu, bado tena mnawakalisha nyumbani miezi 8, mm naita mwaka mzima sabab watoto toka mwaka Jana September wapo nyumbani,. December wamerudia.
Mmetoa matokeo, Sasa mnawaweka miezi 8.
Hivi akili za mtu mzima kweli hizi? Sup gani miezi 8? Ktk Sheria ipi?
Jipangeni huko juu.
 
Huyo aliyefanya hayo maamuzi, Mungu amuangalie huko alipo. Na aliyevujisha hiyo mitihani huko juu, Mungu amshughulikie, kosa wanafanya wenye vyeo, adhabu mnawapa watoto.

Watoto wanapataje mitihani bila juu kuwa na leakage, mlisema watu watawajibishwa, sijasikia mtu juu huko juu kuwajibishwa.
Wizara ya afya, Nacte mjiangalie na hivyo vyeo.

Hamuwez tesa watoto wakae nyumban mwaka mzima (miez 8) ndio mtu akafanye sup.

Stress ya Kwanza mmewapa ambayo adhabu ya kurudia mitihani ni sawa kabisa.
Sasa hivi hii tuiteje? Kukatisha tamaa watoto wasisome ama nini?

Hivi katika familia zenu hakuna watoto? Au nyie binafsi hamna watoto?
Mnawapa stress watoto Sana, masomo magumu, bado tena mnawakalisha nyumbani miezi 8, mm naita mwaka mzima sabab watoto toka mwaka Jana September wapo nyumbani,. December wamerudia.
Mmetoa matokeo, Sasa mnawaweka miezi 8.
Hivi akili za mtu mzima kweli hizi? Sup gani miezi 8? Ktk Sheria ipi?
Jipangeni huko juu.

 
Wana stahili pole kwakwel
Pole yenu sana ila kuna jambo unapaswa kujua sio kwa hao waliorudia mitihani ya co pekee ndo wamefanyiwa hivo ni kada zote za afya utaratibu ndivo ulivo kwa sasa imean umebadilishwa shida ni kwamba umeanzia kwenu na hamkupewa taarifa mwanzo ila kwa sasa utaratibu upo hivo inamaana ukipata sap unarudi kuisapua baada ya mwaka same case kwa repet module pia
 
Pole yenu sana ila kuna jambo unapaswa kujua sio kwa hao waliorudia mitihani ya co pekee ndo wamefanyiwa hivo ni kada zote za afya utaratibu ndivo ulivo kwa sasa imean umebadilishwa shida ni kwamba umeanzia kwenu na hamkupewa taarifa mwanzo ila kwa sasa utaratibu upo hivo inamaana ukipata sap unarudi kuisapua baada ya mwaka same case kwa repet module pia
Kiukweli siyo haki sup inatakiwa wanafunzi wapewe baada ya wiki nne hadi sita after receiving results..watoto wakikaa nyumbani miezi nane hawatoweza kusoma huko mtaani mwishowe wanakata tamaa ya kusoma ni Bora wa-carry waendelee na masomo yao Kama kawaida
 
Habari,

Sisi ni wanafunzi wa afya ambao mwaka jana mitihani ilivuja kwa baadhi ya Vyuo na uamuzi uliofikiwa ni kufutia matokeo na kufanya mitihani upya jambo ambalo ni sawa kabisa.

Shida imekuja hivi matokeo yalivyotoka wanafunzi waliofeli ni wengi kuliko walio faulu na pia wanafunzi wengi wamepata supplementary.

Tatizo limekuja kwamba kama mtu umepata supplementary unarudi nyumbani unakaa miezi nane ndio unarudi kufanya mitihani hyo ya supplementary jambo ambalo litaumiza wengi na litapelekea madhara makubwa.

Mapendekezo yetu tunaomba serikal ituangalie kwa jicho la tatu kama walivyo kuwa wanafanya kwa miaka ya nyuma wafanye hivyo hivyo na kwenye sheria mwanafunzi anatakiwa apewe supplementary ndani ya week nne mpaka sita.

MAONI YETU:
1. Turuhusiwe kuwafanya mitihani hiyo ya supplementary na March intake
2. Kama kuna garama ambazo zitahitajika basi kila mwenye supplementary atozwe pesa
3. Kama yote yanashindikana basi waruhusu watu wa carry hizo supplementary huku wanaendelea mwaka wa tatu na ikifika huo mwezi wa nane wafanye hizo supplementary

NI MAONI YANGU KUWA HILI LITAFANYIWA KAZI
wew toto jinga sana
 
Kiukweli siyo haki sup inatakiwa wanafunzi wapewe baada ya wiki nne hadi sita after receiving results..watoto wakikaa nyumbani miezi nane hawatoweza kusoma huko mtaani mwishowe wanakata tamaa ya kusoma ni Bora wa-carry waendelee na masomo yao Kama kawaida
Sio wote wanaofanya hiyo mitihani ni watoto
 
Habari,

Sisi ni wanafunzi wa afya ambao mwaka jana mitihani ilivuja kwa baadhi ya Vyuo na uamuzi uliofikiwa ni kufutia matokeo na kufanya mitihani upya jambo ambalo ni sawa kabisa.

Shida imekuja hivi matokeo yalivyotoka wanafunzi waliofeli ni wengi kuliko walio faulu na pia wanafunzi wengi wamepata supplementary.

Tatizo limekuja kwamba kama mtu umepata supplementary unarudi nyumbani unakaa miezi nane ndio unarudi kufanya mitihani hyo ya supplementary jambo ambalo litaumiza wengi na litapelekea madhara makubwa.

Mapendekezo yetu tunaomba serikal ituangalie kwa jicho la tatu kama walivyo kuwa wanafanya kwa miaka ya nyuma wafanye hivyo hivyo na kwenye sheria mwanafunzi anatakiwa apewe supplementary ndani ya week nne mpaka sita.

MAONI YETU:
1. Turuhusiwe kuwafanya mitihani hiyo ya supplementary na March intake
2. Kama kuna garama ambazo zitahitajika basi kila mwenye supplementary atozwe pesa
3. Kama yote yanashindikana basi waruhusu watu wa carry hizo supplementary huku wanaendelea mwaka wa tatu na ikifika huo mwezi wa nane wafanye hizo supplementary

NI MAONI YANGU KUWA HILI LITAFANYIWA KAZI
Litafanyiwa kazi na hawa ma expart wa jamii forum ama tutalifanyia kaz sisi?
 
this is too bad kwakweli watoto wetu wananyanyaswa kwenye hili swala serikali na wizara itumie busara kwenye hili

niwashauri tupaze sauti zaidi isikike na kufikia viongozi wengi huko juu kwamaana si haki kabisa.
haya maneno yangeweza kuwa na mchango ukiyafikisha sehemu husika sio humu mfano kuna website za nacte,pharmacy council na wizara ya afya hawa ndo wahusika na hiyo mipango pengne wao hawajui kama wazazi wanateseka
 
Pole Sana Aisee Ila Jitahidini Kupambana Kweli Kweli Pale Mnapokuwa Vyuoni Kukimbia Supplementally Zisizo Na Sababu.
 
Back
Top Bottom