Hivi vitu ni vya kawaida hasa miaka ya uchaguzi mkuu.
Pesa zinakusanywa ktumika kwenye uchaguzi mkuu, kumbuka donor waligoma kutoa pesa baadhi ya miradi, na sasa inagharimiwa na serikali ingawa kwa kusuasua, unadhani pesa inatoka wapi?!
Kila sehemu wanalia lakini tatizo ni uchaguzi wa mwisho wa mwaka.
Wanaopelekewa pesa ni kwa mkakati wa serikali tena nao hupata kidogo huku wakiangalia wapi pa kupata pesa.
Siasa ndizo zinaleta yote haya, usiumize kichwa saana.
Pesa zinakusanywa ktumika kwenye uchaguzi mkuu, kumbuka donor waligoma kutoa pesa baadhi ya miradi, na sasa inagharimiwa na serikali ingawa kwa kusuasua, unadhani pesa inatoka wapi?!
Kila sehemu wanalia lakini tatizo ni uchaguzi wa mwisho wa mwaka.
Wanaopelekewa pesa ni kwa mkakati wa serikali tena nao hupata kidogo huku wakiangalia wapi pa kupata pesa.
Siasa ndizo zinaleta yote haya, usiumize kichwa saana.