Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
hahaha rasta za makwapani!
Hahahhaaaa jamani Tyta ah mi nilikuwa nina kikombe cha chai pembeni hamu yote imeniisha! Hebu nitoeni ushamba, mbona kuna wanaodai wanaume wakiwa na hii kitu makwapani ndio "sexy"?
Mmhhh nawe style yako ipoje,?
Style zipo nyingi ila hii mmmmh siikubali.
Wanaume nyie ndio balaa, sasa kama ni mweusi atakua na kwapa jeupe?weusi anaweza mtu kua hivyo tu lakin pawe pasafiiiiiiiiii jamaniii
Duuuh. Hizi ni balaa
Za huyo mzungu natural lakini huyo mchina naona kama kazichomeka vile????
Ni kama nyama ya mtu ukianza huachi........ingekuwa embe ningekuonjesha kipande !!!!!!
Hawa wasuke kabisa!!
Wadada ndio huwa mna makwapa meusi kama uchafu wa vocha...halafu mbaya zaidi mnavaa vile vikata mikono
maaamaaaa usinikumbusheee...yaniiiiii mhhhhHeheheheheh...panda daladala ya mbagala sasa ujue aina za makwapa zilizopo duniani.
Mbona nishawahi kusikia eti wanaume wasiponyoa makwapa wanakuwa sio wanaume timilifu??Kuna ukweli wowote hapo? Himidini Mkoroshokigoli Eiyer watu8.....
Ya wakaka ni kiboko unaweza tapikaaa haki ya mama shahidi shetani
Wadada tunakumbuka usafi nyie wanaume ndoo puuuuuh! umekesha huko kwenye shughuli zako hata muda wa kujichek hakuna af na usafi iwe kwako homa ni balaaaa.....wadada, wadada wa wap...Tena ya wadada ndio kiboko