Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 736
Mm nilikutana na likwapa moja nilipiga chafya mwezi mzima hadi nilipoenda hospitali nikapewa dozi ya dawa
Huo ni uchafu mimi49Mbona nishawahi kusikia eti wanaume wasiponyoa makwapa wanakuwa sio wanaume timilifu??Kuna ukweli wowote hapo? Himidini Mkoroshokigoli Eiyer watu8.....
wasuke yeboyebohawa wasuke kabisa!!