.Mimi nimeandika kinachotokea automatically kiroho ila wachawi ni sehemu ya kutengeneza yani wanakuwa na utashi na utayari kufanya hivyo
Jr![]()
Ndoto si kitu cha hiari, hakuna mwenye hiari juu ya ndoto ama roho, ni kama tu kwenye ulimwengu wa mwili hakuna mwenye kupenda ajali ama mambo mabaya lakini yanatupata bila hiari yetu.
Hizi ndoto ni hiari ya mtu ama ni kulazimishwa?
Nauliza hivi maana kila mtu anapenda yaliyo mema na hakuna anaetaka ubaya umpate. Sasa inakua je akutanishwe na ubaya katika ulimwengu wa roho bila hiari yake? Na lawama atabeba nani?
Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mtu aliwahi kuniambia ukiota na mtu anaekutaka kimapenzi. Pia nae kule anakuota je ni kweli?mshana jr katika ubora wake tena
sawa mkuuHapana hii ni ya ndotoni
Jr![]()
Leo lazima nikuote Nahirat maana nataka nikutongoze kwa kweli si kwa kupenda huku.Kuna mtu aliwahi kuniambia ukiota na mtu anaekutaka kimapenzi. Pia nae kule anakuota je ni kweli?
Na pia ni kweli mwanaume abao hawahi kukutogoza akikuota lazima akutongoze ki ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana jr come to my rescue.Leo lazima nikuote Nahirat maana nataka nikutongoze kwa kweli si kwa kupenda huku.
Mbona una haraka hivo.
Ha ha haaaa.. Kwa sisi wazee wa vilauli, ukilala bila kunywa ukilala roho itatoka kwenda kutafuta mvinyo?Niliambiwa pia ni muhimu kunywa maji kabla ya kulala, ukilala na Kiu roho hutoka kwenda kutafuta maji.