soma takwimu za mwaka jana kipindi kama hikiYamepanda vipi maradufu ikiwa tuliambiwa kila mwezi TRA wanakusanya zaidi ya trilioni moja, sasa ukipiga hesabu kwa miezi mitatu mapato si ndio yale yale tu
Mamlaka ya Mapato nchini TRA, imetoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato yake ya quarter ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2018/2019, ambayo imeonyesha makusanyo ya shilingi Trilioni 3.84, sawa na asilimia 5.3% ya mwaka 2017/2018 ambako makusanyo yalikuwa ni trilioni 3.65.
TRA imewashukuru walipakodi wote ambao wameendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati na kuwahimiza wale ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo kwa wakati. TRA imewataka wenye changamoto mbalimbali kufika katika Ofisi za TRA mikoani na wilayani kuonana na mameneja wao.
View attachment 891163
Utakuwa 'unanyege-zi' ngoja niwaite vijana wa chadema wakutengeseHii ni habari mbaya sana kwa watetea mafisadi Chadema.
Muda siyo mrefu watakuja kuponda hii habari njema kwa taifa letu.
Mamlaka ya Mapato nchini TRA, imetoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato yake ya quarter ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2018/2019, ambayo imeonyesha makusanyo ya shilingi Trilioni 3.84, sawa na asilimia 5.3% ya mwaka 2017/2018 ambako makusanyo yalikuwa ni trilioni 3.65
View attachment 891163
Hongera sana TRA na walipa kodi wote!
hata mkisema mmekisanya trillion 400, nani atabisha, say anything you like! trillion 1,000 zimekusanywa Salary SlipMamlaka ya Mapato nchini TRA, imetoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato yake ya quarter ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2018/2019, ambayo imeonyesha makusanyo ya shilingi Trilioni 3.84, sawa na asilimia 5.3% ya mwaka 2017/2018 ambako makusanyo yalikuwa ni trilioni 3.65.
TRA imewashukuru walipakodi wote ambao wameendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati na kuwahimiza wale ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo kwa wakati.
TRA imewataka wenye changamoto mbalimbali kufika katika Ofisi za TRA mikoani na wilayani kuonana na mameneja wao.
View attachment 891163
Jifunze kwanza kuandika kiswahili...marafufu ndo nini wew jinga kubwa?Shida ni kukimbilia sit kushabikia mithili ya zombiz!!Mamlaka ya Mapato nchini TRA, imetoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato yake ya quarter ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2018/2019, ambayo imeonyesha makusanyo ya shilingi Trilioni 3.84, sawa na asilimia 5.3% ya mwaka 2017/2018 ambako makusanyo yalikuwa ni trilioni 3.65.
TRA imewashukuru walipakodi wote ambao wameendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati na kuwahimiza wale ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo kwa wakati.
TRA imewataka wenye changamoto mbalimbali kufika katika Ofisi za TRA mikoani na wilayani kuonana na mameneja wao.
View attachment 891163
Nimewahi siti...
Ni
Niko Nyuma yako
Tabia gani hizi