Daimler
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 556
- 973
Mamlaka ya Mapato nchini TRA, imetoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato yake ya quarter ya kwanza ya Mwaka wa Fedha 2018/2019, ambayo imeonyesha makusanyo ya shilingi Trilioni 3.84, sawa na asilimia 5.3% ya mwaka 2017/2018 ambako makusanyo yalikuwa ni trilioni 3.65.
TRA imewashukuru walipakodi wote ambao wameendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati na kuwahimiza wale ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo kwa wakati.
TRA imewataka wenye changamoto mbalimbali kufika katika Ofisi za TRA mikoani na wilayani kuonana na mameneja wao.
TRA imewashukuru walipakodi wote ambao wameendelea kulipa kodi zao kwa hiari na kwa wakati na kuwahimiza wale ambao bado wanasuasua kujitokeza kulipa kodi hizo kwa wakati.
TRA imewataka wenye changamoto mbalimbali kufika katika Ofisi za TRA mikoani na wilayani kuonana na mameneja wao.