Makusanyo ya Mapato Kanda ya Kaskazini Bilioni 1600 versus Bilioni 648 kanda ya Ziwa: Bado mnadai mna nguvu? Nguvu ni uchumi siyo idadi ya watu

Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
"Akili za kaskazini" Hizo billions, zilizokusanywa, utakuta ni, ma kampuni matano tu, hazi reflect uchumi wa, mtu mmoja mmoja, ingekuwa raia,wa huko wapo vzr, kuanzia moshono, mpaka unga limited, au, kule uswazi, matejooo, tungekuwa hatuoni walevi mbwa,hoe hae vijijini!
 
"Akili za kaskazini" Hizo billions, zilizokusanywa, utakuta ni, ma kampuni matano tu, hazi reflect uchumi wa, mtu mmoja mmoja, ingekuwa raia,wa huko wapo vzr, kuanzia moshono, mpaka unga limited, au, kule uswazi, matejooo, tungekuwa hatuoni walevi mbwa,hoe hae vijijini!

..Mtanzania anaweza kuishi popote, akajipatia kipato, na kuchangia ktk uchumi wa taifa letu.

..hizi habari za kubishana na kupondana kwa misingi ya ukanda ni kufilisika kimawazo. Tanzania ni nchi moja na kila raia ana haki ya kuishi popote pale.
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
What if wana mbinu za kisasa zaidi za kukwepa kodi na hivyo kupelekea makusanyo kuwa chini
 
Ndio maana tunataka shughuli za utalii pia ziboreshwe kanda ya ziwa, haiwezelani mbuga ya serengeti asilimia kubwa iwe kanda ya ziwa, halafu ofisi zote za mamlaka ya utalii ziwe Arusha.

Tutajenga lami kuifikia mbuga ya serengeti kwa urahisi kutokea mwanza na mara, na pia uwanja wa ndege wa mwanza na musoma unaboreshwa.

Ziwa victoria lina visiwa tele, tunataka kutenga visiwa maalum kadhaa ili vijengwe mahoteli ya kifahari ya nyota zote.
Hahahahaahah 😃 ulitaka ofisi za Tanapa ziwe mwanza?? Wamasai (culture yao) pia ni kivutia cha utalii fanyeni ubunifu msilie lie wakati mnajenga airport chato sijui uwanja wa mpira na hospital ya rufa maporini mlikuwa mnataka kutibu nyani?
 
"Akili za kaskazini" Hizo billions, zilizokusanywa, utakuta ni, ma kampuni matano tu, hazi reflect uchumi wa, mtu mmoja mmoja, ingekuwa raia,wa huko wapo vzr, kuanzia moshono, mpaka unga limited, au, kule uswazi, matejooo, tungekuwa hatuoni walevi mbwa,hoe hae vijijini!
Still however vijijini vya Arusha na shinyanga/simiyu havifanani wala pato la mtu mmoja mmoja pia sio sawa
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Utakufa na ubaguzi wako WA kipimbi
 
Sikia Tufanye hivi tu umeshinda. Mbona simple..
We hapo mfukoni una nini.

Unajivunia makusanyo ambayo kesho yanaenda kuliwa na mchwa..huyu jamaa vp.

Jana/leo madam Rais kaenda Ethiopia na utitiri wa chawa kuzindua sanamu ya mfu.hela zenu wajinga hizo
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
nani kakwambia billioni za hela ni chochote kwenye uchaguzi?
 
Taarifa iliyotolewa na BOT mwishoni mwa mwaka jana inaonesha kanda ya kaskazini yenye mikoa 4 ndio ya pili kwa makusanyo ya mapato nchini baada ya Dar.

Mapato ya Dsm hayashangazi kwasababu kadhaa, kwanza uwingi wa watu, Dsm ndio TZ utamkuta hata mhadzabe. Ila kanda ya wenye sifa yenye mikoa mingi na watu wengi ina uchumi mdogo sana ikizidiwa na kanda ya kaskazini mara 3.

Kanda ya ziwa ina mikoa ya Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita, kagera na Mwanza wao wanaita makao makuu yao. Hii kanda wameizungukq ziwa Victoria ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake hawana ubunifu, wako hovyo kiuchumi. Uwingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua.

Nilishasemaga mara nyingi uwekezaji mkubwa Mwanza ni hasara, ni ujinga aliouanzisha Magu. SGR Mwanza ni hasara itarudi na mzigo gani. Serikali ijenge uwanja wa ndege mkubwa Arusha hata siyo Msalato, Arusha Airpot kwa siku zinaruka ndege zaidi ya 150, wataalam wa uchumi wanajua uwekeze wapi upate return kwa muda mfupi.

Tutenganishe siasa na uchumi. SGR ingeenda Arusha badala ya Mwanza, ndio ukweli hata km inauma. Mh. Rais ile barabara ya njia 4 ifike angalau KIA. KIA ni taswira ya nchi yetu.
Unamwaga povu badala uweke data tuthibitishe.

Vinginevyo umetunga ,kusema BoT bila evidence ni uzushi
 
Aisee mkuu hauna akili! Hivi hujui mpango wa Jiwe kuweka SGR Mwanza ni kuvuta mizigo ya Uganda? Kwa taarifa yako ikikamilika tu Uganda hawatapitisha tena mizigo yao Mombasa. Pia itakuwa rahisi kwa South Sudan kupitishia mizigo kwenye SGR! Eti itarudi na mizigo gani kutoka Mwanza?
Labda hiyo reli ingekatisha kwenye Ziwa
 
Ukitaka kupandisha (stumilale)uchumi wa mahali unawapa infra structure za kutosha ikiwemo usafirishaji wa uhakika.
Kwa hyo kwa kuwa mikoa ulotaja ina vyanzo vingi vya kiuchumi basi SGR ni sahihi kabisa.
Mikoa ya ziwa iko mbali na bandari hivyo kuwa ngumu kusafirisha bidhaa zao.
Kwa uchache tu ndugu yangu
Pumba
 
"Akili za kaskazini" Hizo billions, zilizokusanywa, utakuta ni, ma kampuni matano tu, hazi reflect uchumi wa, mtu mmoja mmoja, ingekuwa raia,wa huko wapo vzr, kuanzia moshono, mpaka unga limited, au, kule uswazi, matejooo, tungekuwa hatuoni walevi mbwa,hoe hae vijijini!
Kwa akili hizi tunasafari ndefu sana kama taifa
Sasa hayo makampuni nani ni wafanyakazi kwamba maroboti ndo yanafanya kazi kule kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom