makovu mwilini

makovu mwilini

Hapana si love bite, ni mpenzi wangu ambae tuligombana, akaamua kuchukua kisu na kutaka kunichinja hivo nikashtuka usingizini.
Tukio hilo liliniweka kovu japo bado rohoni nina maumivu ya jambo hilo.

Kama ni Zawadi tema mate chini nikamchape.
 
.... mimi ninalo kifuani, one tym kitambo nilikua nimelala kifudifudi then kakaangu alikuaga mkorofi sana akachuku pasi ya moto na kunipasi kifuani... sitasahau siku ile, nilistuka ghafla nikaanza kutapika... daaaah! utoto raha
 
Mie nnalo kwenye shavu..nlikua kampala skuli nlikua natoloka naenda zangu swimming pool fence ilinichana sana shavuni japo limepungua kdgo..
 
duh mimi umenichekesha
Wow...i am privileged aisee..coz u always make me laugh pacha!watu wengi nikiwaambia hawaamini kwasababu tumbili ni rafiki mkubwa wa binadaamu!lakini mimi namuogopa sana...nimepata phobia aisee....nikimuona natoa mbio na ye anatoa mbio tunakimbiana...na nilikuwa always napata vibe kwamba wananiogopa kwa jinsi nikiwatazama kwahio wakijenga defence mechanism fulani hivi kama wakijilinda....
Yule aloondoka na mnofu wa mkono he didnt get away with it kaka alienda kutoa gobole lile la kutishia wizi...akashutiwa bahati mbaya ilimpata kwenye mkia tu ha ha ha he survived!but hakukoma akirudi kunicheki mbaya wake...tukipigana jichooo...mnyama sio mtu wa kuaminika pacha mmh nashangaa wanaofuga simba sijui chui!!
 
kama kutahiriwa ni kovu basi i count one, kama sio kovu basi mi sina kovu.
 
.... mimi ninalo kifuani, one tym kitambo nilikua nimelala kifudifudi then kakaangu alikuaga mkorofi sana akachuku pasi ya moto na kunipasi kifuani... sitasahau siku ile, nilistuka ghafla nikaanza kutapika... daaaah! utoto raha
Pole sana aiseeee mhh....
 
Makovu matatu mkononi. Nikipata nguvu naweza hata kuamua kuyashughulikia (surgery). Nilipanda dirishani nikaangukia ktk uji uchemkao jikoni. Loh! mengi nimefanya kusimuliwa, nilikuwa mdogo.
 
.... mimi ninalo kifuani, one tym kitambo nilikua nimelala kifudifudi then kakaangu alikuaga mkorofi sana akachuku pasi ya moto na kunipasi kifuani... sitasahau siku ile, nilistuka ghafla nikaanza kutapika... daaaah! utoto raha
duuh alitaka kukuua au ni nini? polee
 
Hapana si love bite, ni mpenzi wangu ambae tuligombana, akaamua kuchukua kisu na kutaka kunichinja hivo nikashtuka usingizini.
Tukio hilo liliniweka kovu japo bado rohoni nina maumivu ya jambo hilo.

aisee huyo jamaa alikuwa mkatili sana, bado uko naye kimapenzi?
 
Back
Top Bottom