makovu mwilini

makovu mwilini

Kovu mkono wa kulia..Nilingàtwa na tumbiri nilipokuwa na miaka 6 akaondoka na mnofu...ikabidi ichukuliwe ngozi kwenye paja iwekwe hapo..Mengine yamefifia nilipata ajali ya pikipiki pia umri huohuo n.k
Pole sana ndugu yake mimi
 
Aaah mie sina kovu lenye kumbusho..Lakini nina balango kichwani nilinyewa na ndege !!
 
pole sana, mnawafuga? au wa polini?

pole aisee, mnafaidika nao vipi lakini? maana sisi tunafuga mbwa kutulinda na maadui nje ya nyumba! paka kutulinda ndani ya nyumba zetu zidi ya panya na nyoka! mbuzi, kondoo na ng'ombe kitoeo,maziwa,...............!
 
Aisee mbali sana


Goti la kulia,nilikimbizwa na mbwa mida ya jioni nikitoka kuchukua maziwa...nilianguka kwenye kokoto...iliuma sana,kukunja mguu ikawa shughuli

Pole sana. Mi nna kovu chini kidogo ya kichwa cha kikojoleo changu. Kovu lilisababishwa na kampeni ya kuondoa mkono sweta.
 
Aisee mbali sana


Goti la kulia,nilikimbizwa na mbwa mida ya jioni nikitoka kuchukua maziwa...nilianguka kwenye kokoto...iliuma sana,kukunja mguu ikawa shughuli

Pole sana. Mi nna kovu chini kidogo ya kichwa cha kikojoleo changu. Kovu lilisababishwa na kampeni ya kuondoa mkono sweta.
 
Pole sana. Mi nna kovu chini kidogo ya kichwa cha kikojoleo changu. Kovu lilisababishwa na kampeni ya kuondoa mkono sweta.
Hahahaha...polee babu

Ila si kwa faida?
 
Makovu..
1.Kichwani juu ya kope ya jicho la kushoto, nilipata ajalli mbaya sana nikawa nimepata fracture limebaki kovu
2.Begani mkono wa kushoto nilichanwa na vioo siku ya ajali
3.Makovu ya utotoni mguu wa kushoto nilimwagiwa uji na mtoto wa baba mdogo tulikua tunagombea kikombe
4.mguu wa kulia makovu nilijiunguza na uji wa Plastiki nilikua natengeneza goroli za kuchezea nguti

We noma duh! sasa huo mwili si kama gwanda la jeshi? kidding
 
pole aisee, mnafaidika nao vipi lakini? maana sisi tunafuga mbwa kutulinda na maadui nje ya nyumba! paka kutulinda ndani ya nyumba zetu zidi ya panya na nyoka! mbuzi, kondoo na ng'ombe kitoeo,maziwa,...............!
Ahsante...Mi sijui kwanini tukifuga tumbili labda ilikuwa fasheni loh...kulikuwa na hao,njiwa,samaki,mbwa na paka!!!
 
pole sana
Hapana si love bite, ni
mpenzi wangu ambae tuligombana, akaamua kuchukua kisu na kutaka
kunichinja hivo nikashtuka usingizini.
Tukio hilo liliniweka kovu japo bado rohoni nina maumivu ya jambo
hilo.
 
nilitaka kukwambia uweke picha
nimeghairi
Pole sana. Mi nna kovu chini
kidogo ya kichwa cha kikojoleo changu. Kovu lilisababishwa na kampeni
ya kuondoa mkono sweta.
 
helo team tusiokuwa na viburudisho ! hebu kujeni hapa tupige story leo wkend kama unaona haikuhusu naomba upotezee!
najua wengi wetu tuna makovu kwenye miili yetu madogo kwa makubwa! wengine waliungua udogoni..wengine wamepigwa mapanga kwa ujambazi wengine mafumanizi nk!
leo naomba tupige story kila mtu amwage kisa cha kovu lake hapa
mimi ninalo kwenye bega sema kwa ajili ya unene huu na kukua naona limeishia ishia limebaki kwa mbaali sana ila linanikumbusha mbali sana
story yangu ilikuwa hivi
nikiwa mdogo kuna siku mama yangu akanituma buchani nyama nusu kilo! akanipa elfu kumi ndo zimetoka toka nadhani nilikuwa sijawai kuiona tena! sio hii ya sasa hivi ....nusu kilo ya nyama nadhani ilikuwa elfu au mia tano hivi.
sasa kule buchani yule muuza bucha akanipa nyama na chenji wakati mimi nilikuwa sijampa hata hela huyooo nikaishia zangu... so ile elfu kumi ya mama ikawa yangu mi nikampa mama chenji yake .
kuna ndugu yangu tumefatana ila kanizidi miaka 4 nikamueleza jinsi nilivopata hilo zali asubuhi asubuhi hao tukaenda kufunga mtaa kwa pipi gololi na biscuit za bibi!ila kumbe mwenzangu roho ilimuuma ..so ikatokea sasa mama akitaka kumtuma mtu buchani anagombania sana na mimi sikubali ikawa ni vita vita! siku moja katika kupigana na akanibamiza ukutani ule ukuta una chuping sijui mafundi wanaita wenyewe ukanichumbua ndo source ya kovu langu!

kumbe Smile ni chibonge!!!

aitheee!!
 
Last edited by a moderator:
dah! aisee mi kovu langu kila ninapoliona huwa natabasamu na hata kucheka wakati mwingine!!
 
kumbe bado kijana mdogo elfu kumi zilipokuwa zinaanza kutoka ndipo ulikuwa unatumwa na mama!! , sisi tulikuwa tunatumwa kipindi cha 100 nyekundu , nyama kilo shs 30 , soda shs 5 double cola ,sigara shs 1.5. ukitumwa unaenda unaimba kwani mama enzi hizo hata darasa halijui hawezi hata kukuandikia katika karatasi , serikali ilibidi ianzishe elimu ya watu wazima , wakifundishwa kesho wakipewa mtihani wote wanafeli ikabidi kusiwe na mitihani ni aibu . nafikiri hayo ndiyo makovu niliyonayo
 
kinachonishangaza kuwa nyie wote yani hapa mnaochangia hamna viburudisho....sikutegemea namba kubwa kiasi hichi pia kuwa kuta baadhi ya watu humu
 
Back
Top Bottom