Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Rais Magufuli, si mbaya kwa kila hali...mimi Binafsi alinisaidia kupata kazi, ya heshima tu, kabla ya tukio Lile la September 7, 2017 juu ya Uhai wa Lissu, NILICHUKIA.
Kwa hiyo Huyu Jamaa hufanya makosa ambayo mtu wa pembeni Unaona kabisa anaelekea kuiingiiza nchi kwenye migogoro ambayo itatuchukua muda mrefu mno kuitatua...kwa sababu mengi ya maamuzi yake kwa kweli kila mwenye utimamu wa akili anaona yanarisk si tu Amani na Utulivu wa nchi, bali hata Urais wake anaojidai nao sana, na wala adui yake si Chadema kama anavyoelekea kuamini yeye; Kuna siku ADUI yake watakutana barabarani
Hivi Imagine hadi WHO wanalazimika kumwandikia barua kuwa mwenendo wake katika kushirikiana na Viongozi wenzake kukabili janga hili hauwapendezi, hivi haoni hicho Kivuli kinachomnyemelea?
Kenya wanamlaumu, na Hakika na nchi majirani wengine akiwemo Kagame Wataanza kumlaumu punde, maana Sasa Tanzania ndo itakuwa nchi Kinara wa kusambaza Wadudu hawa kwa jirani zake...Corona Virus ni Ukungu mbaya ambao haujui mipaka ya nchi.
Siamini kama hiki Kiburi ni cha heri, pengine Mungu ana jambo kubwa sana anataka atufanyie Watanzania, lakini tutaipata Heri hiyo baada ya kupoteza raia wetu kwa Maelfu.
Kama Corona Virus wanaweza kuuangamiza mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu? Wacha tuone
Kwa hiyo Huyu Jamaa hufanya makosa ambayo mtu wa pembeni Unaona kabisa anaelekea kuiingiiza nchi kwenye migogoro ambayo itatuchukua muda mrefu mno kuitatua...kwa sababu mengi ya maamuzi yake kwa kweli kila mwenye utimamu wa akili anaona yanarisk si tu Amani na Utulivu wa nchi, bali hata Urais wake anaojidai nao sana, na wala adui yake si Chadema kama anavyoelekea kuamini yeye; Kuna siku ADUI yake watakutana barabarani
Hivi Imagine hadi WHO wanalazimika kumwandikia barua kuwa mwenendo wake katika kushirikiana na Viongozi wenzake kukabili janga hili hauwapendezi, hivi haoni hicho Kivuli kinachomnyemelea?
Kenya wanamlaumu, na Hakika na nchi majirani wengine akiwemo Kagame Wataanza kumlaumu punde, maana Sasa Tanzania ndo itakuwa nchi Kinara wa kusambaza Wadudu hawa kwa jirani zake...Corona Virus ni Ukungu mbaya ambao haujui mipaka ya nchi.
Siamini kama hiki Kiburi ni cha heri, pengine Mungu ana jambo kubwa sana anataka atufanyie Watanzania, lakini tutaipata Heri hiyo baada ya kupoteza raia wetu kwa Maelfu.
Kama Corona Virus wanaweza kuuangamiza mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu? Wacha tuone