GE2025 Makosa ya kiuongozi aliyoyafanya Rais Samia na kujikuta anapoteza uungwaji mkono wa wananchi kwa wingi na kasi ya kutisha

GE2025 Makosa ya kiuongozi aliyoyafanya Rais Samia na kujikuta anapoteza uungwaji mkono wa wananchi kwa wingi na kasi ya kutisha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hakuna hoja hapo.....Leo form tunachukua na kipyenga kinapulizwa
Tanzania yote itakuwa CCM
 
Uchambuzi mzuri sana mleta mada.

Kati ya hayo yote hakuna hata moja lisilo na shaka .

Yapo mengi pia ambayo yamesababisha aendelee kuchukiwa lakini hayo yametosha kabisa kutia uzito.

Bahati mbaya kabisa hawezi kujisahihisha wala kurekebisha , lililo kuwa bora kwake asinge endelea.
 
Samia anaungwa mkono na Watanzania wote kwasabu
1. Amepandisha madaraja na kuongeza mishahara Watumishi ambao walikaa miaka 7 bila daraja Wala nyongeza
2. Aliondoa VRF ya HESLB
3. AMEONGEZA AJIRA, Samia anaajir tuwe wakweli
4. Ameweka mifumo ya kiutumishi ambayo imeondoa urasmu kwenye kuhama na manunuzi
5. Samia amejenga kituo Cha afya kila kata
6. Samia ameweka mazingira mazuri ya biashara hakuna biashara inayofungwa Hadi Sasa.
OCTOBER TUNATIKI ✅✅✅
Tatizo majibu mepesi sana..
Jamaa katoa hoja nzito sana hazitakiwi kukurupuka kuzijibu
 
Nasema hivi hatukupandshwa mishahara kwa miaka7 hatukuongezwa mishahara kwa miaka 8 Samia mtu wa Mungu ametuongeza na kutupandisha mishahara kwahyo Tanzania inasema
OCTOBER TUNATIKI ✅ ✅ ✅
Hakuna mpinzani wa Samia na lazima atakuwa Rais ila usikuze mambo na usiwe chawa kuwa mzalendo
 
Samia anaungwa mkono na Watanzania wote kwasabu
1. Amepandisha madaraja na kuongeza mishahara Watumishi ambao walikaa miaka 7 bila daraja Wala nyongeza
2. Aliondoa VRF ya HESLB
3. AMEONGEZA AJIRA, Samia anaajir tuwe wakweli
4. Ameweka mifumo ya kiutumishi ambayo imeondoa urasmu kwenye kuhama na manunuzi
5. Samia amejenga kituo Cha afya kila kata
6. Samia ameweka mazingira mazuri ya biashara hakuna biashara inayofungwa Hadi Sasa.
OCTOBER TUNATIKI ✅✅✅
Umesahau ujenzi wa miundombinu mipya ya elimu kuanzia msingi Hadi sekondari. Sina deni na mama Mimi binafsi na kama Kuna mapungufu ni ya kawaida ambayo kila mja anayo
 
Kiufupi hayo i baadhi ya mambo ninayoyaona yamepelekea Samia kuchukiwa na kukosa ushahwishi wa umma kwa kiwango kikubwa sana.
Kufungia kanisa letu HII PEKE YAKE MIE AMENITOKA KABISA MOYONI
 
Samia anaungwa mkono na Watanzania wote kwasabu
1. Amepandisha madaraja na kuongeza mishahara Watumishi ambao walikaa miaka 7 bila daraja Wala nyongeza
2. Aliondoa VRF ya HESLB
3. AMEONGEZA AJIRA, Samia anaajir tuwe wakweli
4. Ameweka mifumo ya kiutumishi ambayo imeondoa urasmu kwenye kuhama na manunuzi
5. Samia amejenga kituo Cha afya kila kata
6. Samia ameweka mazingira mazuri ya biashara hakuna biashara inayofungwa Hadi Sasa.
OCTOBER TUNATIKI ✅✅✅
Samia amefungua fursa nyingi za kibiashara kwa sasa, Haogopi kupanda ndege kwenda Brazil kwenda New York kwenda popote pale kwa manufaa ya Tanzania ya leo na kesho.

Bandari inaingiza mabilioni ya shilingi kila makusanyo yanapofanyika pesa zinazokwenda kuinua sekta nyingine nyingi tu.

Hivi sasa anashughulikia suala la LNG yupo katika michakato ya kuliweka sawa kisheria ili liweze kuwa chanzo imara cha mapato ya kitaifa.

Kafungua bandari ya Bagamoyo anatafutwa mwekezaji wa uhakika asimamie bandari hiyo. Kule Tanga zimepelekwa bilioni 500 kwa ajili ya kuipandisha hadhi bandari ile.

Samia yupo njema sana kwenye masuala ya kiuchumi kuliko watangulizi wote watano waliomtangulia. Kakipokea kijiti alichoachiwa na RIP Magufuli na anakimbia mbio kitaalam sana.
 
Kuongeza mishahara Watumishi si majibu mepesi haya ndo yanayotufanya tuseme OCTOBER TUNATIKI ✅
Utiki usitiki jua mwisho wa ubaya ni aibu and nature has always never lost its address, tetea uovu kwa uwezo wako wote but karma haitawaaacha salama .
 
Utiki usitiki jua mwisho wa ubaya ni aibu and nature has always never lost its address, tetea uovu kwa uwezo wako wote but karma haitawaaacha salama .
Aibu utapata ww maana Taifa limesema OCTOBER TUNATIKI ✅
 
Samia amefungua fursa nyingi za kibiashara kwa sasa, Haogopi kupanda ndege kwenda Brazil kwenda New York kwenda popote pale kwa manufaa ya Tanzania ya leo na kesho.

Bandari inaingiza mabilioni ya shilingi kila makusanyo yanapofanyika pesa zinazokwenda kuinua sekta nyingine nyingi tu.

Hivi sasa anashughulikia suala la LNG yupo katika michakato ya kuliweka sawa kisheria ili liweze kuwa chanzo imara cha mapato ya kitaifa.

Kafungua bandari ya Bagamoyo anatafutwa mwekezaji wa uhakika asimamie bandari hiyo. Kule Tanga zimepelekwa bilioni 500 kwa ajili ya kuipandisha hadhi bandari ile.

Samia yupo njema sana kwenye masuala ya kiuchumi kuliko watangulizi wote watano waliomtangulia. Kakipokea kijiti alichoachiwa na RIP Magufuli na anakimbia mbio kitaalam sana.
Hakika brother
Mungu amubariki sana Rais wetu
 
Kauli zake zisizo na staha ... (1)kifo ni kifo tu (2) katiba si ni kijitabu tu . (3) ku deal na wanaomkosoa (4) utekaji kupotea na mauaji kwa Raia .
Deni la taifa likitamkwa kwa US DOLLAR ni dogo sana,ila likitajwa kwa Tsh linakuwa kubwaaaaa aaa.
 

Attachments

  • images - 2025-08-09T092751.671.jpeg
    images - 2025-08-09T092751.671.jpeg
    60.2 KB · Views: 17
  • Kuhalalisha mawaziri kula kwa urefu wa kamba
  • Kupora ardhi ya wamasai ngorongoro
Ni hoja nyepesi sana Kuna mtu aliwanyima watu mafao yao kabisa wazee wa watu
OCTOBER TUNATIKI KWA MH SAMIA SULUHU HASSAN
 
Urais si mchezo, ni kazi ngumu. Kuna kuhujumiwa humo humo! Kuna kushauriwa vibaya, kwenye kutenda na kuamua unapotoshwa, unakuja kujua baadaye, unatengua na kuteua! Unayemteua unakuja kujua ni kama uliyemtemgua, unatengua na kuteua tenaa! Urais ni limzigo likubwa sana.
 
Back
Top Bottom