Yote kelele tu Lowasa ndio Rais wa awamu ya tano, mtazamo tu.
Yaani makongoro awe rais duhhh tutapiga bange mpaka tukae sawa
hivi jamaa anafaa?
Ha ha ha ha ha!, mkuu mwanaume hakuna kuogopa pombe kali, unataka unywe wine kama wadada. Kula nyama sana hakikisha unavimbiwa kisawasaw, agiza viroba vyako 6 gonga kuondoa gesi tumboni kisha ingia kwenye mechi utaniambia habari yake, masaa 3 hufungi gari na bado unakuwa fitiA.k.a gongo.
Kwani CCM kuna ulazima wa mtu kufaa au kutokufaa?Kwani huyu anayetoka ALIKUWA ANAFAA?
Cha msingi ni sisi watanzania tuamue kuchagua kinachofaa.
nani kakwambia kuwa kura yako ndo inaamua nan awe rais,inaelekea huyajui mambo ya system yalivyo.
Ha ha ha ha ha!, mkuu mwanaume hakuna kuogopa pombe kali, unataka unywe wine kama wadada. Kula nyama sana hakikisha unavimbiwa kisawasaw, agiza viroba vyako 6 gonga kuondoa gesi tumboni kisha ingia kwenye mechi utaniambia habari yake, masaa 3 hufungi gari na bado unakuwa fiti
Nimesikia tetesi hapa Butiama kuwa Mh. Makongoro Nyerere ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ana nia ya kuwania Urais kwa ticket ya CCM mwakani, taarifa zinasema kuwa Makongoro atatangaza nia hiyo muda wowote toka sasa.
Kila la kheri...