FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Kutibu jipu unaanza kulipasua na kulisafisha.
Muafaka ni CCM kugawanyika makundi mawili (CCM Asili na CCM Maslahi/Mafisadi), kundi linalotetea wananchi litapeta wakati huo huo la pili likitoswa!
Hakuna mgawanyiko katika CCM, haya ni mambo ya kawaida kuhusu vyama kuwa na wagombea wengi. Sasa hivi USA kuna mchakato wa kumpata mgombea Urais kupitia vyama kama huu wetu, kasome kuna wagombea wangapi huko kwenye chama kimoja, ni kawaida sana, ndiyo maana ya demokrasia.
Jisomee: 2016 Potential Republican Presidential Candidates