Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Roho inaniumiiii jama. Sijui nilie......hivi hawa vichaa wanaokwenda kwa jina la fataki tuwafanye nini maana sasa ni too much.
Kuna jamaa mmoja aliniambia mabinti huwa wanapenda wanaume wa ajabu ajabu, vinyozi, marasta, makonda na vijana wachafu wachafu wa vijiweni, sijui wanawapa mapigo ya ukakika zaidi kule wale wastaarabu maana wanawashobokea kwelikweli! Utakuta kabinti kameganda saluni masaa hata hakanyolewi mmmh...............