loykeys
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 1,175
- 911
so kama kuna mgonjwa yuko hatarini kupoteza maisha ni heri afe kuliko mwalimu anaye wahi shule kushika namba kwa walio wahi na ku chelewa?Mwalimu kwanza wengine wafuate, hata ww umepata kufahamu kusoma na kuandika kwa kufundishwa na Mwalimu, na hata hao Dr, nurses, Prof. Wote wmefundishwa na Mwalimu!!