Makonda: Walimu kusafiri bure

Makonda: Walimu kusafiri bure

Yaani enzi hizi wasafiri bure? Hata hao maaskari hulipa bodaboda na bajaji. Wanawaonea tu dala dala.
 
Pamoja na Rais kumsifu na kumhakikishia wadhifa siamini kama Makonda anafaa. Anaonekana kudhamiria zaidi kutaka aonekane anafanya kazi badala ya kufanya kazi kwa kadri uwezo wake.
 
Ukweli ni kuwa viongozi wengi wa kisiasa wa awamu hii wanapenda konekana zaidi kwa kauli zaidi kuliko vitendo. Kila nikiangalia sioni namna baadhi ya sera zao zitakavokuwa na tija. Sasa hili pia la walimu ni.changamoto. Sijui kesho manesi,madaktari na wengineo wakicharuka itakuwaje!
 
Back
Top Bottom