Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Mkuu hilo ni wazo la kukurupuka tu na kukosa la kuongea,hakuna msafirishaji atakaye kubali kumsafirisha mwalimu kwa agizo la makonda, hilo ni ndoto tuHao askari pamoja na ubabe wao,uniform na mamlaka bado wanaitwa "maiti' kwani sio hiari yao wenye mabus ndio itakuwa walimu wetu?
Atafute njia nyingine kuliko hiyo ambayo walimu wetu watanyanyaswa, kutukanwa na kudhalilishwa mpaka watauchukia huo ualimu bure!
Wazo lake laweza zuri lakini sio kwa wakati huu