Kikubwa tunaipongeza ITV kutoitangaza habari za makonda maana wangekosa watejaKuna mda mtu usipo waza vizuri unaweza omba muda wa taarifa ya habari uwe masaa 24 ili habari zote zisomwe .
Juzi mlikuja hapa mkilaumu ITV hawakusoma taarifa ya Lema kule Arusha, Leo umekuja unashangilia hawakusoma maazimisho ya Makonda.
Unafiki na roho mbaya vinaweza kukufanya upunguze uwezo wakufukiri kila kukicha.
Acheni kulalamikia Media .. Zinahaki ya kuchagua nini cha kutangaza ili zijitoe kwenye Milengo ya kisiasa na kijamii na hatimae zitengeneze faida.
Mleta mada mjinga sana. Sijui kwa nini nimechangia huu uzi
Tena bila ndallaAwafukuze ITV Dar? Yeye ndiyo anatakiwa arudi Kolomije.
Hiyo AVATAR yako inakuhukumuLabda katika yale majina 97 ya wauza ngada na Baba Kylin yumo..
Hajitambui tuMakonda hana elimu,habari zake zinawezaje kurushwa na television ya taifa?(ITV)
ITV ndiyo TV pendwa Tanzania lazima warushe habari makini.Sasa huyu Bashite anasema wakazi wa Dar waanze kutumia kadi kwenye manunuzi;huu sio uziro wake unasababisha kusema hayo.Sasa habari za kibashite kama hizi za kusikilizwa na mamilioni ya watanzania wanaoangalia ITV?
Hivi huyu Bashite anajua maisha yetu ya tandale kwa tumbo,mburahati,manzese,kigogo,buguruni,vingunguti kuwa tunaweza kweli kununua bidhaa kwa kadi? Wakati kutumia manunuz ya mpesa tu kwetu ni hadithi.
Bashite ni wa kupuuzwa alafu Sijui kwa nini hadi leo rais hamuondoi pale au kwavile ni wa kanda ya ziwa?
Ana mamlaka gani kunichagulia jinsi ya kufanya manunuzi yangu kwa visenti vayangu nilivyolipwa baada ya kubeba zege?anaumwa huyo siyo bure yaani hata simu sina leo anilazimishe kujiunga na mitandao?Makonda hana elimu,habari zake zinawezaje kurushwa na television ya taifa?(ITV)
ITV ndiyo TV pendwa Tanzania lazima warushe habari makini.Sasa huyu Bashite anasema wakazi wa Dar waanze kutumia kadi kwenye manunuzi;huu sio uziro wake unasababisha kusema hayo.Sasa habari za kibashite kama hizi za kusikilizwa na mamilioni ya watanzania wanaoangalia ITV?
Hivi huyu Bashite anajua maisha yetu ya tandale kwa tumbo,mburahati,manzese,kigogo,buguruni,vingunguti kuwa tunaweza kweli kununua bidhaa kwa kadi? Wakati kutumia manunuz ya mpesa tu kwetu ni hadithi.
Bashite ni wa kupuuzwa alafu Sijui kwa nini hadi leo rais hamuondoi pale au kwavile ni wa kanda ya ziwa?
Atuwekee vyeti tu vingimevyo anazidi kupuuzwa hadi atarudi kwao koromijeNi ujinga kujigeuza tume ya Utumishi wa umma ili ukague vyeti vya Mkuu wa Mkoa, si muhoji kwanza vyeti vya Mbowe?
Mawingu walishapoteza sifa za kuwa tv ya kuangaliwaITV wamechoka na blabla za BASHITE
Bora wemejitambua. ila wamebaki Walee wa Mawingu ndo bado vimbelembele
:makondaCc: faiza foxy
Cc: lizaboni
Au tbcKama unataka habari za Bashite, angalia mawingu!
Itv siyo ya vilaza na ya wenye vyeti feki!...
Kwani lazima uangalie itv...??
ITV hawarushagi habari zisizokuwa na uhakika.Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Ile sio habari ni uzwazwa tu, utoto na ulimbukeni wa madarakaNaona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Yaah..Au tbc