johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,996
- 142,010
Kichwa cha Uzi huu ni kauli ya Paul Makonda mbele ya baba askofu Dr Mokiwa katika Kanisa la St Albans wakati akiwa Mkuu wa mkoa wa DSM
Viongozi wa Serikali ndio wanapaswa kuwaendea Viongozi wa Dini kutafuta Suluhu ya changamoto mbalimbali
Nichukue fursa hii kuendelea kukupongeza Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa
Na wewe Mwenezi Makonda nikupongeze pia
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
Viongozi wa Serikali ndio wanapaswa kuwaendea Viongozi wa Dini kutafuta Suluhu ya changamoto mbalimbali
Nichukue fursa hii kuendelea kukupongeza Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa
Na wewe Mwenezi Makonda nikupongeze pia
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀