Neno la hekima sana hili.Aendelee kujifunza. Kijana ana uthubutu sana ni vile hakuwa anajua A B C za uongozi na pia mkuu alikua anamlea....
Kujikwaa si kuanguka...
Akae benchi zaidi apate kujifunza
Kwa sabbu ameshajifunza + kuhitimu mafunzo basi kwa baadae Mungu akimjalia akiwa kiongozi aweze kutafakari + kunyambua mambo.