benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo