GE2025 Makonda: Nililishwa Sumu nikiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ilikuwa nife mwaka 2024

GE2025 Makonda: Nililishwa Sumu nikiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ilikuwa nife mwaka 2024

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ingawa hatumujui aliempa sumu lakini simulaumu
Nyie wanamtandao watu wa ajabu sana mlipa Sumu Makonda, Kijaz, Mangula, Magufuli, Mwakyembe, Tindikali Kubenea, Sumu Mkapa mlolongo ni mrefu. Hongereni!!
 
"Kuna kipindi nilipotea nikaanza kutafutwa, na wengine mlinitafuta kwa nguvu kubwa huyu yuko wapi. Ukweli nilikuwa naumwa, nililishwa sumu, Yasingekuwa maombi ya Watanzania na Mungu kumuinua Rais Samia Suluhu Hassan kusimamia matibabu yangu nilitakiwe nife mwaka jana," amesema Makonda.
Sasa nimeanza kumuelewa britanicca na Tumia akili
 
Makonda anaweza kuongea chochote pia msisahau ilo apate huruma ya wananchi
Upo sahihi kabisa aseme vipimo vilionyesha amelishwa sumu ya aina gani mboni Job fasta tu akarest
 
Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda, amekiri kuwahi kulishwa sumu hali iliyomsababishia kulazwa hospitalini na kutoonekana hadharani.

Makonda amefichua siri hiyo leo Jumapili, Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo Njiro - Arusha, akisema si mara yake ya kwanza kulishwa sumu na kwamba amenusurika kifo mara kadhaa.

"Kuna kipindi nilipotea nikaanza kutafutwa, na wengine mlinitafuta kwa nguvu kubwa huyu yuko wapi. Ukweli nilikuwa naumwa, nililishwa sumu, Yasingekuwa maombi ya Watanzania na Mungu kumuinua Rais Samia Suluhu Hassan kusimamia matibabu yangu nilitakiwe nife mwaka jana," amesema Makonda.

Karma is a bitch,
Umeua wangap,
Umesababisha direct or indirect wangp kupoteza maisha.
What's goes around, comes around!!
Binafsi sikusikitikii, unavuna ulichopanda!!
 
Karma is a bitch,
Umeua wangap,
Umesababisha direct or indirect wangp kupoteza maisha.
What's goes around, comes around!!
Binafsi sikusikitikii, unavuna ulichopanda!!
Kuna moja watamkamata tu yaan anaanza kujitangaza sasa itabidi wafanye mixing ambayo hata afanyaje hachomoi labda abadirishe damu mwili mzima
 
Back
Top Bottom