Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,481
- 3,991
Huyu jamaa hii miradi yake anayoibua unajua ana akili sana kila akiibua kitu kuna jambo muhimu linapita sasa sijajua this time amekuja na nnbehind the sceneMi nadhani anatania tu, anajaribu kuwatoa mawazo ya ajali ya tanker. Ila huyu mwamba ni underground kilaza.