Makonda na uchochezi wa kijinga

Unataka kutwambia wahenga walio litumia hilo neno AJUZA hawana akili?
Au kwa akili zako AJUZA ni neno jipya?
Tumia akili bwana mdogo wacha mikurupuko
Ndugu Mwlmawia, sikurupuki. Inavyoelekea wewe ndiye mkurupukaji. Hata hiyo posting yangu kukujibu, ya dakika 5 zilizopita , umenijibu bila kuisoma vizuri. Nimekupa maelezo ya Neno Ajuza.

By the way, nimeishi Arabuni zaidi ya miaka 25, nazungumza Kiarabu Fasaha, ba ninakiandika.
 
Tatizo akili zako naona zinapwaya.
Dr atabakia kuitwa Dr.
Mwalimu ataitwa Mwalimu.
Ajuza ataitwa AJUZA tu bila kumuogopa mkirindi.
Wewe kijana umekosa adabu na heshima, hatuwezi kulumbana,

Asante kwa yote, na nakuombea kila la kheri na mungu akulinde
 
Hata kama ungeishi mbinguni hakuna anaye teseka.
Hapa kinacho gomba ni wewe kukataa mtu kuitwa AJUZA wakati umri wake unaruhusu kuitwa AJUZA
Ndugu Mwlmawia, sikurupuki. Inavyoelekea wewe ndiye mkurupukaji. Hata hiyo posting yangu kukujibu, ya dakika 5 zilizopita , umenijibu bila kuisoma vizuri. Nimekupa maelezo ya Neno Ajuza.

By the way, nimeishi Arabuni zaidi ya miaka 25, nazungumza Kiarabu Fasaha, ba ninakiandika.
 
Sasa tuamini dini gani?
Naamini wanao tuangusha ni viongozi wetu wanao simamia hizo taasisi
 
Kwani Makonda
Alisema anawaalika waislamu au kawaalika ndugu zetu walemavu bila kujali dini na itikadi zao?
Kugawa nguo kwa walemavu whether zimeandikwaje sion kama shida kwani hata waislamu
Wanamtambua Issa bin Mariam. We ulie na fedha ni lini umeshawahi kugawa ulichonacho kwa maskini na wahitaji?
Unaporusha jiwe jiangalie kwanza kama wewe unatenda yaliyo mema
 
Huyu makonda ama kweli hashishiki tena, sijua kawaroga watu. Maana anafanya vitendo vya ajabu, na bila ya kufikiria hisia za wale watu walioko pale ama jamii kwa ujumla.

Sasa hivi karibuni ameandalia waislamu futari pale Diamond Jubilee Hall, ni jambo jema.

Mtu unajua unealika waislamu kongamano la hao ndugu zetu, alafu unafanya mipango uletewa TShirt inayosema JESUS IS MY SAVIOR, na asilimia 100 ya waliopo hapo ni , watu wanaosema Mkombozi wa kidini ni Mohamad.

Jee RC Makonda unamaanisha nini kufanya hivyo?
Jee umewaalika hai Waislamu na kuwaambia mmepotoka.
Jee ulikuwa unasambaza dini katika ukumbi wa waumini wa dini nyengine.

RC Makonda, Tafadhali sana tena sana, umeikuta Dar yetu ni pahali makini penye amani, hatujakuwa na matatizo ya kidini na wala hatuyataki, Tafadhali wacha kutafuta kiki kwa kuyatumia madaraka yako vibaya.

Na nikuhakikishie, hizi chonganishi zako, hazitavuna lolote, kwani sisi watanzania tunapendana bila kujali dini zetu wala mengine yawezayo kututenganisha.

Ukitaka kujua hili tukio ni la kinafiki na limepangwa kutugawa, kwenye hiyo meza wako makonda na huyu anayejiita Shekhe ambaye ni mnafiki mkubwa na kuwadi kama yeye. Huyo shekhe amekaa kwenye nyadhifa hiyo kwa nguvu ya serekali, waislamu hawampendi, hawamsikilizi na hata wengine hawakubali kuswalishwa naye au kumhusisha kwenye ibada zozote, wanamuona kama shetani vile.View attachment 1113887View attachment 1113888
Mwenye akili anaona.
Mpuuzi anawaendesha waliopewa miongozo imara.
 
Heshima ni kitu cha bure na ghali, ghali kwani kinakujengea wewe mwenye kuheshimika na kuwekuaminika popote duniani.

Ndugu Mmawia, hiyo lugha unayotumia kwa dada faiza haistahili. Ajuza lina matumizi ya aina mbili, moja ni kebehi au kumdhalilisha mtu, na pili ni kuzingilumzia umri mama mzee, bibi, kikongwe.
Hao waache, kebehi zao zinaonesha wazi kuwa ni watoto ambao hawajapata mafunzo ya mama na baba.

Wenye maneno namna hiyo, wengi ni watoto wa mama tu.
 
Hapo kweli ajuza Fayza Foxy alikosekana?
Alhamdulillah sikuwepo lakini nigekuwepo ningekuwa mstari wa mbele kabisa. Ungeniona napiga selfie na kina Kagere na John Boko.

Unafahamu nini alikisema Kagere alipoulizwa ameonaje kuhusu tukio hilo? Kama una ubinaadam hata kidogo basi ungebubujikwa na machozi.

Walioalikwa ni wale ambao wengi wetu huwaita "masikini" na mkuu wa Mkoa ka arrange wale watu maarufu na watu wenye hadhi ndiyo siku hiyo walikuwa wahudumu wao.

Ni jambo kubwa sana lililofanyika na AlhamduliLlah limefanyika mwezi mtukufu, mwezi wa rehma, mwezi wa toba na maghfira. Mwezi ulioteremshwa Qur'an.

Mwezi wa kusameheana, mwezi wa kuwa wenyeyekevu kwa ibada na maisha yetu. Mwezi wa kuelewa mtu akikwambia nna njaa inamaaniaha nini.

Halafu event kama hiyo kutayarishwa na asiye Muislam kujumuisha Waislam na wasio Waislam wenye afya zao na walemavu, wenye hadhi na wasio na hadhi, hakika ni jambo kubwa sana kwa wenye kutafakari japo kidogo.

Hiyo maana yake tunaipata kwenye Qur'an, soma hiyoooo...

Qur'an 3:

3_64.gif

64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. 64

Say: "O People of the Book! come to common terms as between us and you: That we worship none but Allah; that we associate no partners with him; that we erect not, from among ourselves, Lords and patrons other than Allah." If then they turn back, say ye: "Bear witness that we (at least) are Muslims (bowing to Allah's Will).
 
njoo ilala mtaa Sawawa arusha na pangani kwenye kona wanauza kila aina
Sio kununua tu mi nataka nivae dizain hiyo halafu na ile yenye ki mkia kinaninginia nyuma maarufu kama alshabaabu ni vazi safi ila tafsiri za watu ni mbaya nadhani hawa jamaa hapo pangani wanawezisha kunivisha na kunifunsisha. Mi wakati fulani nilipiga picha za Harusi jamaa alinitoa Dar nikaenda zenj kupiga picha basi bwana Harusi alivaa namna hiyo kicwani nilifurahi na kwa kweli ilimtoa sana ila miuda w ukawa haupo.a kumwambia aanivishe
 
Sojaona kosa,,Kwani kwenye hivyo vitabu vyenu vyote mnavyosoma nyie Biblia na Quran havijaelezea nani ni mkombozi wenu. SISI TUNAOPENDA KUSOMA SOMA NAJUA YESU AMEELEZWA KWENYE HIVYO VITABU VYENU KUWA NI MKOMBOZI. SAFI MAKONDA WEWE UNAFAA HATA KUWA RAIS WA AFRICA. UNAJIAMINI. GOOD.

nipe andiko yesu mwenyewe anasema yeye ni mkombozi - usinipe andiko luka kasema au paulo kasema nataka andiko yesu mwenyewe kasema mimi ni mkmbozi au mimi ni kristo
 
Back
Top Bottom