Ndiyo maana Daudi akawa anamfuata Wema usiku ili asiende Hm?Uongo umewazidi, angeongelea wanake Steve na waliyoyarusha.
Hawana adabu mbele ya viongozi wa nchi hii.
Jambo lingine wanajua walitaka awe anatoroshwa kwenda nyumbani na kurudishwa asubuhi mapema, inaelekea mchezo huu hawakuweza kuucheza.