Makonda kumfuata Wema mahabusu nyakati za usiku, hii imekaaje?

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,685
22,694
Habari wakuu..

Bado suala la shutuma za madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi.

Mimi nimenukuu baadhi ya Hoja alizozitoa mama wa Wema Sepetu leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Ameuambia Umma kwamba mkuu wa mkoa wa Dsm Bw Makonda nyakati za usiku alikuwa akienda mahabusu kuwafuata akina Wema.

Wakuu tuelimishane uhalali wa Makonda kwenda mahabusu nyakati za usiku na sio mchana ili kumuona Wema, Je kuna jambo gani la siri mkuu huyo kulifanya usiku na mtu aliyemtuhumu kuhusika na dawa za kulevya?

Nitoeni matongotongo wakuu!!

=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
Yaliyojiri katikati ya mchakato wa upelelezi wa kesi ya wema
Wema kukutwa na kesi ya kujibu
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini
 
Uongo umewazidi, angeongelea wanake Steve na waliyoyarusha.

Hawana adabu mbele ya viongozi wa nchi hii.

Jambo lingine wanajua walitaka awe anatoroshwa kwenda nyumbani na kurudishwa asubuhi mapema, inaelekea mchezo huu hawakuweza kuucheza.
 
Haya mambo yanachanganya sana, kila upande wanapo to a hoja zao unaona ka ukweli flani hivi.
 
Habari wakuu..

Bado suala la shutuma za madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi.


Mimi nimenukuu baadhi ya Hoja alizozitoa mama wa Wema Sepetu leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.


Ameuambia Umma kwamba mkuu wa mkoa wa Dsm Bw Makonda nyakati za usiku alikuwa akienda mahabusu kuwafuata akina Wema.


Wakuu tuelimishane uhalali wa Makonda kwenda mahabusu nyakati za usiku na sio mchana ili kumuona Wema, Je kuna jambo gani la siri mkuu huyo kulifanya usiku na mtu aliyemtuhumu kuhusika na dawa za kulevya?

Nitoeni matongotongo wakuu!!
nenda kwa kamanda Siro ukamuulize atakupa majibu. majibu ya swali lako hutayapata jf.
 
Habari wakuu..

Bado suala la shutuma za madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi.


Mimi nimenukuu baadhi ya Hoja alizozitoa mama wa Wema Sepetu leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.


Ameuambia Umma kwamba mkuu wa mkoa wa Dsm Bw Makonda nyakati za usiku alikuwa akienda mahabusu kuwafuata akina Wema.


Wakuu tuelimishane uhalali wa Makonda kwenda mahabusu nyakati za usiku na sio mchana ili kumuona Wema, Je kuna jambo gani la siri mkuu huyo kulifanya usiku na mtu aliyemtuhumu kuhusika na dawa za kulevya?

Nitoeni matongotongo wakuu!!
Kama unategemea Mama Wema ndio chano cha habari basi wewe ni wa kuombewa
 
Lakini kama angekuwa na interest naye angeweza kumpata hata mchana mitaani, pia Makonda si ni Mwenyekiti wa kamati ya usalama? Kama anaweza kuamrisha mtu akamatwe basi pia anaweza kwenda mahabusu, ingawa sitetei mambo kadhaa ambayo RC huyu anachemka vibaya
 
Back
Top Bottom