chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Habari wakuu..
Bado suala la shutuma za madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi.
Mimi nimenukuu baadhi ya Hoja alizozitoa mama wa Wema Sepetu leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Ameuambia Umma kwamba mkuu wa mkoa wa Dsm Bw Makonda nyakati za usiku alikuwa akienda mahabusu kuwafuata akina Wema.
Wakuu tuelimishane uhalali wa Makonda kwenda mahabusu nyakati za usiku na sio mchana ili kumuona Wema, Je kuna jambo gani la siri mkuu huyo kulifanya usiku na mtu aliyemtuhumu kuhusika na dawa za kulevya?
Nitoeni matongotongo wakuu!!
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini
Bado suala la shutuma za madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi.
Mimi nimenukuu baadhi ya Hoja alizozitoa mama wa Wema Sepetu leo wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Ameuambia Umma kwamba mkuu wa mkoa wa Dsm Bw Makonda nyakati za usiku alikuwa akienda mahabusu kuwafuata akina Wema.
Wakuu tuelimishane uhalali wa Makonda kwenda mahabusu nyakati za usiku na sio mchana ili kumuona Wema, Je kuna jambo gani la siri mkuu huyo kulifanya usiku na mtu aliyemtuhumu kuhusika na dawa za kulevya?
Nitoeni matongotongo wakuu!!
=======
Wema Sepetu kukamatwa na kuhukumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya
- Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi
- Kamanda Siro: Wema Sepetu, TID na Nyandu Tozi bado wanashikiliwa na jeshi la polisi
- Sakata la Madawa ya Kulevya: Wema Sepetu afikishwa Mahakamani, apata dhamana
- Wema Sepetu kapatikana na bangi
- Tundu Lissu kumtetea Wema Sepetu
- Maajabu: Serikali haiwajui Vigogo wa Dawa za Kulevya hadi inataka Wema awatajie?
- Makonda kumfuata Wema mahabusu nyakati za usiku, hii imekaaje?
- Sauti ya Wema Sepetu iliyosambaa akiwatoa hofu Mashabiki
- Kesi ya Wema Sepetu hadi mwakani
- Wema Sepetu amefiwa, kesi yake yapigwa kalenda
- Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi
- Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo
- Vita ya Dawa za Kulevya: Steve Nyerere alivyopiga kambi Bungeni Kumuokoa Wema Sepetu
- Kesi ya Wema Sepetu yaahirishwa, uchunguzi haujakamilika
- Kutoka mahakamani: Wema Sepetu hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo ya mwili wake, asema Hakimu
- Mkemia Mkuu: Mkojo wa Wema Sepetu ulikuwa na bangi
- Kibatala aandika barua ya kujitoa kesi ya Wema Sepetu, Alberto Msando aandika barua ya kuwa wakili mpya
- KISUTU: Wema Sepetu afika na Wakili wake Msando kwenye kesi. Diamond na Hamisa nao wafika Mahakama ya watoto
- Shahidi kesi ya Wema asema bangi ilikutwa jikoni
- Kisutu: Korti yakataa vielelezo vya ushahidi kesi ya Wema Sepetu. Masogange akutwa na kesi ya kujibu
Kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipa faini