gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Naam. Tusimwage kuku kwenye mchele wengiKwakuwa imeshanaswa na wakili wake msomi mhe. Lissu basi tusimwage mchele kwenye kuku wengi. Wewe fika mahakamani Siku ya kesi uone mbobezi wa Sheria, Bwana Lissu anavyowafundisha Sheria mawakili wa Serikali.