Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,454
Reaction score
14,697
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo.

1774349603347.png

Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya kulitangaza taifa kimataifa.

Waziri Makonda ameyasema hayo jijini Arusha leo, Machi 24, 2026, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Idhaa za Kiswahili, akibainisha kuwa Tanzania, kwa kushirikiana na Kenya na Uganda, ina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa katika mashindano hayo.

Soma: Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027

Aidha, amesisitiza kuwa kipindi cha mashindano kitakuwa dirisha muhimu la kuitangaza Tanzania Bara na Zanzibar, huku akibainisha kuwa matumizi ya lugha ya Kiswahili katika matangazo na mawasiliano ya mashindano hayo yatasaidia kukuza hadhi na ushawishi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya nchi.

 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo.


Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya kulitangaza taifa kimataifa.

Waziri Makonda ameyasema hayo jijini Arusha leo, Machi 24, 2026, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Idhaa za Kiswahili, akibainisha kuwa Tanzania, kwa kushirikiana na Kenya na Uganda, ina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa katika mashindano hayo.

Soma: Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027
Aidha, amesisitiza kuwa kipindi cha mashindano kitakuwa dirisha muhimu la kuitangaza Tanzania Bara na Zanzibar, huku akibainisha kuwa matumizi ya lugha ya Kiswahili katika matangazo na mawasiliano ya mashindano hayo yatasaidia kukuza hadhi na ushawishi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya nchi.

Kwa team ipi waliyonayo
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo.


Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya kulitangaza taifa kimataifa.

Waziri Makonda ameyasema hayo jijini Arusha leo, Machi 24, 2026, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Idhaa za Kiswahili, akibainisha kuwa Tanzania, kwa kushirikiana na Kenya na Uganda, ina kila sababu ya kuwa na matumaini makubwa katika mashindano hayo.

Soma: Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027
Aidha, amesisitiza kuwa kipindi cha mashindano kitakuwa dirisha muhimu la kuitangaza Tanzania Bara na Zanzibar, huku akibainisha kuwa matumizi ya lugha ya Kiswahili katika matangazo na mawasiliano ya mashindano hayo yatasaidia kukuza hadhi na ushawishi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya nchi.

Kwa team ipi waliyonayo
 
Back
Top Bottom