Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Ata kama yupo sahihi ni kwa nini sasa akawanange wachaga msibani? Au kuna utani wa jadi kati ya wachaga na waskuma?
 
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Ni kweli Mengi alikuwa anasaidia sana, tukubali pia yeye ndiye mchaga tuliyekuwa tunamuona sana akisaidia kuliko wachaga wengine sababu anamiliki vyombo vikubwa vya habari vyenye coverage kubwa.

Hawa wachaga wengine tusio wafamu tunawapa labels kwamba 'wabinafsi' nafikiri laiti kama kila mchaga angekuwa anamiliki vyombo vya habari na kila akisaidia taarifa inafikia uma basi nafikiri tungekuwa na takwimu sahihi na tungeongea kwa kujiamini.

Kinyume na haya, hii mizani tuyaoitumia kusema ati fulani ni mchaga bora kuliko wengine kana kwamba tumefanya tafiti kwa wachaga wote duniani ama tunawafahamu wote yatosha kusema haina usahihi.

Binafsi sipendi husisha suala la kusaidia na ukabila, ifike mahali tusilete mitazamo hiyo.
 
Ni kweli Mengi alikuwa anasaidia sana, tukubali pia yeye ndiye mchaga tuliyekuwa tunamuona sana akisaidia kuliko wachaga wengine sababu anamiliki vyombo vikubwa vya habari vyenye coverage kubwa.

Hawa wachaga wengine tusio wafamu tunawapa labels kwamba 'wabinafsi' nafikiri laiti kama kila mchaga angekuwa anamiliki vyombo vya habari na kila akisaidia taarifa inafikia uma basi nafikiri tungekuwa na takwimu sahihi na tungeongea kwa kujiamini.

Kinyume na haya, hii mizani tuyaoitumia kusema ati fulani ni mchaga bora kuliko wengine kana kwamba tumefanya tafiti kwa wachaga wote duniani ama tunawafahamu wote yatosha kusema haina usahihi.

Binafsi sipendi husisha suala la kusaidia na ukabila, ifike mahali tusilete mitazamo hiyo.
Kwahiyo ni mtanzania gani ambaye alikuwa anasaidia zaidi ya Mengi na siyo mchagga?
 
Utaendelea Kuwa Fukara hivyo hivyo !! Kinabooo weweee..... ! Kaendelee kucheza na Kina Chausiku
 
Mzee Reginald Mengi alizaliwa uchagani, akasomeshwa na kukuzwa na wachaga, yote aliyoyafanya katika maisha yake, ni mzizi kutoka uchagani. Wengi waliokuwa wamemzunguka kipindi cha uhai wake ni watu kutoka uchagani .!
Na hata yote aliyokuwa akifanya basi ni chimbuko na asili ya huko huko uchagani .!

Asante sana Reginald Mengi kwa sababu hukupenda hili liende bila kusemwa, mbele yako alidharau na kudhihaki mzizi wako ( Uchaga ), na wewe bila hiyana ukasema siendi mpaka uhakikishe unaondoa chembechembe yoyote ya ukabili dhidi ya taifa letu.

Lala salama mzee wetu .!

#RIPMengi
 
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Sawa Wachagga hawawezi kusaidia mtu na ni wabinafsi. Kabila gani ambalo wao ni watoaji sana na siyo wabinafsi? Nipe mfano wametoa misaada gani na kwa nani?
 
Kuna mambo au kauli za kutetea lakini siyo matusi, dharau, kejeli, ubaguzi na upuuzi alioutamka Bashite. Yule mtu kakosea. Ni vema mnyamaze asamehewe tu. Mtu mwenye miaka karibia 40 halafu anafanya mambo ya ki -teeneger? Mimi hupenda kumueleza ni kama radio kubwa kama kabati lakini ni "bendi moja "!
 
Wachaga wengi wanamdhambulia Makonda, kuna sababu katika hili.

Tuwe wakweli tu jamani ule moyo wa utoaji ulikuwa ni wa Reginald Mengi tu na sio wa wachaga. Mchaga kama wewe huna nasaba nae, wewe si yeyote kwake, mara zote wamekuwa ni watu wabinafsi sana na kuutukuza mno ukaskazini. Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani

Mzee Mengi alikuwa ni extraordinary mchaga, hakuwa mchaga wa kawaida wa kukumbuka watu wengine kirahisi, mzee wa watu akijitoa hasa, Mungu amrehemu kwa kweli. Tunaishi na wachaga ni watu wanaoabudu sana matabaka,Kwa hiyo mimi sioni cha ajabu Makonda alichoongea kinyume chake ingekuwa ubafiki kuwasifia wachaga hawa ambao tunawajua sisi

Mchaga mchaga mchaga aisee kwa kweli mnisamehe tu wachaga ninyi kwa kweli mjifunze kuthamini watu wengine kama nyie mnavyithaminiwa mnapoenda kutafuta maisha sehemu mbalimbali nchini humu kwa kupokewa vyema na wenyeji wenu

Makonda yu sahihi kabisa hata kama kuna nyakati amekuwa akiropoka ila kwa hili acha tu ukweli usemwe
Mangi Mengi alikuwa anaji expose,kwahiyo wachaga wote wakitaka kutoa misaada Waite waandishi was habar? Au wapost insta?
 
Aisee, kumbe Baba wa Taifa bado ameacha shughuli kubwa namna hii ya kufanya?

Je unaweza kutuambia kigezo unachotumia kujua mtoaji na asiye mtoaji?

Je unaweza kututajia kabila lako hapa na utuoneshe namna lilivyo na moyo wa utoaji?
 
"Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani*


Na wewe huko kwenu inuaneni pia,, acha mdomo mdomo hapa.
 
ulimuona Mengi sababu ya nguvu ya Media.....wapo wengi tu ni watoaji wazuri na wana upendo sana acha ubaguzi

unasumbuliwa na Mental stereotypes
 
Uliyeanzisha uzi huu unajipa tabu nafsini mwako aliyepewa kapewa wachaga walioolewa moyo wangu kusaidiana wameambukizana moyo huo kiasi kwamba
Hata kwenye harambee nyingi wachaga wanashiriki na wanatoa kwa moyo

Karibu uchagani ujifunze namna Nzr ya kuwa mtoaji.

Maandiko matakatifu yanasema asiyewajali wa kwao ni Mbaya kuliko asiye amini kwahiyo hata wakati wanasaidiana wao kwa wao ni ibada pia
 
"Wachaga ni watu wa dharau sana na huwaona watu wengine ni wazembe na hawastahili mafanikio ndio maana hupenda kuinuana wao wenyewe tu ila ni ngumu kuzingatia watu wa mahali pengine mbali na uchagani*


Na wewe huko kwenu inuaneni pia,, acha mdomo mdomo hapa.
Ukweli ni kwamba kitendo tu cha kutaja Kabila-Kwa kiongozi wa serikali,tayari ni Dosari kubwa sana!Mwalimu hakuwahi kufikiria kwamba iko siku watanzania wataanza kuchambua makabila!
SİSİ NI NDUGU!mambo ya ukabila siyo agenda yetu!Sana sana tungemlinganisha Mzee Mengi na watu wa mataifa mengine(Wahindi labda na Waarabu)-Not Ethincs-Huko tuwaachie wenzetu Wakenya!
-Halafu,si kweli kwamba Wachaga hawasaidii masikini,look,nenda kwenye Tovuti ya Precession,kituo cha Ngaleku kinasaidia Yatima na walemavu-iyo ni public,but wako wengi mno wanaotoa kwa udogo wa ipato chao!
-Kingine,mwaka 2017,Mkuu wa Mkoa wa Dar ndiye aliyetangaza operation kuondoa Ombaomba na walemavu ktkt jiji la Dar-hope kulikuwa na njia nzuri zaidi ya kuwaahudumia-He kicked them out by use of police!
-Katibu wetu Mkuu,mtu mzima na msomi na kiuhalisia-Mjamaa,akapenda kuondoa ile dosari-Didnt work out that well!Why?because mlengwa alikosa Utii na Unyenyekevu-PM?KM,S na wangine wengi yet...!
-Hope will learn and change...we others like him though...!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom