Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,962
Tofauti yao ni kwamba vazi Makonda limeonwa na wengi....wakati Gwajima walikuwa wawili tu...Kwa muktadha ule ule alioutumia Mch. Gwajima kusema ile video ni ya kuunga unga, na mimi nasema hiyo picha ni ya kuunga unga.
View attachment 1093631
Kwanza hicho kifua ni cha baunsa, hawezi kua Makonda huyo.
Kaona nani wewe, hizo kamera zote zilizomrekodi na kumrusha kwenye TV zioikuwa zinaedit, hizo picha na video ni za kughushiTofauti yao ni kwamba vazi Makonda limeonwa na wengi....wakati Gwajima walikuwa wawili tu...
Mwana hovyo mlezi hivyo unategemea nini si wanae waendelee kuvuta bangi na kumfedhehesha babayake msiingiwe na hofu baba akiendelea kumkumbatia mwanae mpumbavu ataendelea kumbuka sisi tuendelee kuchapa kazi no heshima kazi ni uhai watatuelewa mbele ya safariWakuu, Kwa ujumla mimi huwa ni Mshabiki wa Makonda kindakindaki ila kufuatia Msiba wa Mengi! Makonda alikosea katika maeneo yafuatayo!
1. Hakupaswa kuhusisha Msiba wa Mengi na tabia za Wachaga!
2. Hakupaswa kutangaza Deni la Kubenea hadharani maana Mkopo ni Siri ya Mkopaji na Mkopeshaji, na kwa kuwa Mkopeshaji hayupo basi angemkumbusha mkopaji kwa njia ya kistaarabu.
3. Hakupaswa kuvaa Mavazi yale aliyovaa Msibani Maana yanaashilia Uhuni, Usanii, au tunawea kuuita Utoto.
4. Hakupaswa kujitetea Baada ya SG Bashiru kumuombea msamaha pale Kanisani.
5. Hakupaswa kusita kuitika wito Baada ya kuitwa na Askofu pale Kanisani.
Huo ni mtazamo wangu tu! Japo na sisi walalamikaji tungeweza kunyamanza kimya pasingekuwepo na Mjandala wowote na wala tusinge athirika kwa Sababu hakuna ubishi kwamba katika Makabila ya Tanzania Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Tueleze wewe uliyeelewa.Kwani wewe aliposema neno deni wewe ulifikiria ni deni la pesa au kitu gani?
Tazama punda ingine hiiiHakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Wewe pia ni MuhuiMavazi gani hayo unayoyaita ya kihuni ?
Nini maana ya uhuni ?
Mhuni ni nani?
Pale church alisema bwn Yesu asifiwe watu kimya hakuna aliyejibu wala nini,kule nje ya kanisa nadhani watu walitema mate chini.Pascal Mayalla
sikukatalii ila mfundisheni basi hata kwa kisukuma Heshima ni nini?
alimchokozo dogo mmoja (Liquid) kwa ulevi angalia walevi walivyo,paisha hadi Bungeni siku hizi Liquid anaingia hadi Nairobi kwa kick ya Makonda.
Makonda angejichunguza style anayotumia kutawala sio kabisa, ukiona leo wamekukutaa kaa chini waulize waliokuzidi km P. Mayalla hapa pana nini
lkn cloud, mara Gwajima tena Kijiji kimoja,
sijui naashauri atafute mshauri
Huyu kijana ni Mshari atakuja kuangamiza Nchi Atoswe baharini kama yule Yona kwenye Bibilia amezwe na samaki akatokee huko kwenye tabia zinazo fananamara Gwajima tena Kijiji kimoja,
sijui naashauri atafute mshauri
Jerry Nenda kalaleHakukosea hata kidogo!!!! aliweka kautani kwa wachagga ambao wengi ni marafiki zake au hukutana katika shughuli za kisiasa...na kwa kuwa ni msiba mzito mara nyingi kuna baadhi ya watu huchomeka maneno ya utani angalau kuwahamisha wafiwa kutoka hisia kali za kumfikiria marehemu ambayo inaweza kuwasababishia matatizo ya kiafya. Kumbuka msiba ni sherehe ya mtu ya mwisho hivyo kuna staili mbali mbali za kumuaga marehemu wengine ni kumsifia mwanzo mwisho sawa!!! wengine kuwatania waliobaki sawa!!!! kwa nini watu wanashupalia neno ambalo limetolewa kama obiter dictum?
Kapitie upya maana ya neno allegetionsToo much allegations,why mnachukia binadamu mwenzenu hivi?
Mimi namchukia kwa kutaka wanaume wote wa dar-es-salaam tupimwe tezi dume kwa nguvu hata ukihamia mikoani, toka hapo nikajua huyu sio mzima
Goli kipa katokaKibaya zaidi pamoja na chuki zenu kwake, lakini mwaka kesho anakuwa mbunge
unaweza kunielimisha piaKapitie upya maana ya neno allegetions
Kwenye jamii/familia yapo mambo mengi yanafanyika lkn ukiyasema adharani wewe uliyeyasema ndio unaonekana una matatizo, wanasema hivi; sio kila ukweli unapaswa kusemwa adharani, ukweli mwingine uweza kuatalisha amani ukisemwa adharani.Hichi ndicho kimetokea kwa makonda.Wachanga wanachukua nafasi ya 1 kwa Utafutaji wa Pesa
Hukumaanisha madeni ya pesaTueleze wewe uliyeelewa.