Kwa akili zenu mmewaona watanzania viraza wasiojitambua km Bashite???Yaani hiyo ni kabisa, na wanaisubiria kwa hamu sana.
Yani tuzime TV kwa sababu ya star TV??? Ngachoka!!! TV ambayo imedoda km TBC, .Hapa ni bihashara nyie nuneni au zima TV yako , cc tuna imani na Makonda wengine acha upuuzi wenu
Kumbe Lemutuz- Hahaha Ndugu najua unasoma hapa, naomba kukuhakikishia kuwa umedanganywa na huenda hujui kinachoendelea, halafu punguza chuki kwa RC hajakukosea chochote zaidi tu ya kurubuniwa kwako na wanaomchukia kwa sababu yupo karibu na Rais. Hao wanasiasa waliokurubuni huko waliwahi pia kukurubuni na kumbu kumbu zake zipo humu JF toka ulipokuwa unasoma London/UK, jana nimeona matusi uliyomrushia mwananchi mmoja huko kwenye Group lako la Watsap ambaye umemtukana sana kwa sababu ya kumuunga mkono RC, WHY? Mkuu RC wewe binafsi amekukosea nini hasa cha kukufanya wewe kutukana matusi ya ajabu vile?
- Kwa nini unasema Uongo kwenye huu waraka wako kama ule uongo uliousema kuwa RC alikukimbia ofisini kwake? Uongo wa kitoto ambao sikutegemea mtumzima msomi kama wewe unaweza kujiingiza nao, Ofisi ya RC ina Milango Miwili mmoja wa kuingilia na mwingine kutokea kwa pembeni kwa hiyo hakuna Mlango wa nyuma kama ulivyodai ulikuwa ni uongo wa kitoto sana, na besides ili umfikie RC ofisini kwake ni lazima upitie Getini ujiandikishe wamuulize Secretary wake ndio uruhusiwe kupanda juu kwa Secretary wake usubiri amfahamishe RC kuwa upo ndio uruhusiwe kuingia kumuona, sasa kama RC alikuwa hataki kuwaona na Tume yako hivi kweli alihitaji kuwaruhusu mfike mpaka ndani ya ofisi yake ndio akimbie? Huoni kuwa ni uongo wa kitoto wakati unajua kabisa siku mliyopanga kwenda kumuona ndiyo siku Bosi wake Waziri wa Tamisemi alimpitia na kwenda naye Ilala Machinga Complex, sasa wewe uliendaje kumuona RC ambaye hakuwepo ofisini I mean WHY UNADANGANYA?
- Leo again umeibuka na uongo mpya kwamba eti kuna "Wpambe wa RC wanaojaribu kuwaomba Waandishi wamuandike" ...hahahahah kwanza naomba kucheka sana kwa sababu binafsi nimefuatwa na kundi la Waandishi walionifahamisha kwamba wana mpango wa kuachana na mgomo wako na kuanza kumuandika kwenye magazeti yao 5 makubwa hapa mjini, na wakaniomba nimfahamishe RC ili awakatie mzigo hahahahaha niliwacheka sana nikawaambia kwamba HAITAKUJA KUTOKEA NEVER maana kwa maneno mengine walichokitaka inaitwa "BLACKMAIL" niliwauliza so mligoma ili mje mdai pesa kumuandika? hahahahahahha
- Mkuu wewe, ni mtu unayetakiwa kuheshimika na jamii kwa usomi na kazi yako lakini kwa kukubali kutumiwa na Wanasiasa umejiharibia sana na kwa muda mrefu sasa, I mean hizi Chuki zako na wanaokutuma zitawasaidia nini hasa mbele ya Wanasiasa ambao hubadilika kila siku? Majuzi Lowassa alikuwa adui namba moja wa Wanasiasa wa CCM wanaokutuma leo ni Rafiki yao mkubwa kwa siri tunajua sana. So how can you trust your life kwa Wanasiasa wa namna hiyo ambao Mange alikuwa adui yao mkubwa leo ni Rafiki yao mkubwa mpaka wanampa habari nyingi za uongo kama za Kinana au mnadhani hatufahamu? Tunajua sana ila tunajiuliza mnachopigania ni nini hasa wakati Uchaguzi ulishaisha Mwaka 2015?
- Nikukumbushe tena hakuna Mwandishi aliyeombwa kwa kushawishiwa kupewa rushwa ili amuandike RC hapana, ila kuna Mjumbe wa hilo Baraza lako aliyemtishia sana Muandishi atakayemuhoji RC Jumatatu hahahahaha naomba kukuambia kwamba huo muungano wenu ni wa wachawi hauwezi kudumu ndio maana tulisema it is about time tu mtavurugana wenyewe kwa wenyewe, kwa sababu magazeti sasa hivi hayauzi na tunajua kuna Wanaowalipa kufidia hasara lakini hata wao wanawalipa kwa taabu sana hahahahaha anyways nakuomba usijiaminishe sana kuandika kama unawaongoza Waandishi wote HAPANA, maana wengi wanahangaika na njaa na huu mgomo. Wewe na wanaokutuma mlishashindwa siku nyingi na mtashindwa tu maana hamna sababu ya msingi ya mgomo na hakijaharibika kitu cause slogan yetu ni ile ile "KAZI JUU YA KAZI yaani BAMPA TO BAMPA". Halafu jitahidini basi Jukwaa lako na Wanasiasa wanaokutuma mfanye kitu cha msingi kwa jamii kama RC anavyofanya, Jengeni Mahospitali tu kusaidia Wananchi ili tujue kwamba umoja wenu ni wa nguvu kama ulivyosema sio wa kujitokeza kutaka kumchagulia Rais viongozi wake hahahahaha
- By the way hii interview itafanyikwa Jumatatu Saa Moja na Nusu Asubuhi, Tarehe 22/5 unakaribishwa sana kuhudhuria au kuangalia kwenye Luninga wa Star TV, otherwise nimejifunza kwamba kumbe kupigana na Wauza Madawa ya Kulevya sio mchezo maana majibu yao ndio haya tunayaona kwa macho yetu sio tena kwa kusimuliwa! Nakukumbusha sana kwamba mgomo wakomunawaumiza sana Waandishi wa Habari wasiolipwa Mishahara kwa muda unaotakiwa, wasiokuwa na pensheni wala Bima za afya, jitahidi basi kuwapigania kwenye hayo na hilo Baraza lako msiishie kumgomea RC tu!
- Kuhusu mnaouita "UVAMIZI WA CLOUDS" naomba kusema tena na tena nimeamua kuunyamazia kwa sababu Mmiliki wa Clouds ni rafiki yangu waa karibu sana ndio maana sipendi kugusa hiyo ishu, ambayo ninajua ilivyopangwa kwenye vikao huko Dodoma na washiriki wote wa hivyo vikao tunawajua, ni aibu tupu kwa watuwazima kutishiana nyau kwa ishu ambazo mnajua kabisa kuwa ni uongo wa kitoto sana ila endeleeni kuwadanganya wasioelewa.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
- Le Mutuz Nation
Huyo lemutuz ni kubwa jinga tuWapi nimemchafua? Nimekuambia nenda ukamulize. Atakupa ufafanuzi mzuri.
Ccm imewapiga SUPER GLUE kwenye macho yenu na akiliha ha ha, wanandoa wanasalitiana sembuse hawa?
Kula kulala hujui shilingi inatafutwaje- hahahahaha afadhali kuliko kuwa na kichwa chako cha kutumia picha ya mnyama na majina ya bandia sijafikia kufilisika akili kiasi hicho hahahahahahhaa
le Mutuz
KATAA CHAMA CHA CCMKufuatia kitendo cha Kituo cha Luninga cha Star Tv kuamua kuisaliti Tasnia ya Habari nchini Tanzania kwa kuanza kushirikiana na Bashite ili kurusha habari zake, Vita dhidi ya Chombo hicho kutoka kwa wadau mbalimbali hapa nchini imeanzishwa rasmi mitandaoni, mbinu mbalimbali zitatumika, na kwa kuanzia tu, haya yanaanza kufanyika mara moja
mitandaoni.
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]continentalDecorder
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]starTv
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]radiofreeAfrica
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]kissFm
Huo ukaskazini wenu ulishawashinda siku nyingi. Bado kidogo mtaanzisha [HASHTAG]#KATAAwasukumaKilimanjaro[/HASHTAG]..... NyambaffffffgKufuatia kitendo cha Kituo cha Luninga cha Star Tv kuamua kuisaliti Tasnia ya Habari nchini Tanzania kwa kuanza kushirikiana na Bashite ili kurusha habari zake, Vita dhidi ya Chombo hicho kutoka kwa wadau mbalimbali hapa nchini imeanzishwa rasmi mitandaoni, mbinu mbalimbali zitatumika, na kwa kuanzia tu, haya yanaanza kufanyika mara moja
mitandaoni.
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]continentalDecorder
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]starTv
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]radiofreeAfrica
[HASHTAG]#KATAA[/HASHTAG]kissFm