Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Militaka Makonda asihojiwe. Tunaopenda haki tumefurahishwa na kitendo cha Star TV kutupa habari ya upande wa pili wa shilingi. Walau sasa naweza hata kuwa na nafasi nzuri ya kumuhukumu Makonda kwamba ana makosa au hana makosa. Na hata sasa naweza kujua kama ni kweli Clouds walivamiwa au ni igizo kama yalivyo maigizo mengine. Ruge alitumia vyombo vyake akatupasha kile anachoamini ni sahihi, ni vema na haki kuwa leo tumeweza kusikia kutoka kwa Makonda kile anachoamini ni sahihi. [HASHTAG]#naturaljustice[/HASHTAG]