Hampumui? Hamlali?
Sasa huu umeanza ujinga?
Fanyeni kazi zenu
Member mwaminifu wa Gambosh huyo,asiwatenge waliomfikisha hapo kwa kweli.Umeonekana umati wa wana CCM kote kanda ya ziwa.
View attachment 2814571
Bila shaka itakuwa furaha kubwa kutowatenga wa Gamboshi.