jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
hivi dezo ya nauli za waalimu ilishia wapi!?
mashoga!?
kukagua kila nyumba kusaka wasio na kazi!?
eeeeeeh kabla sijasahau na kupaka nyumba rangi viliishja wapi.....
rais ameruhusu kila mtu kufanyia mkutano jimboni kwake.... nimkumbushe tu kua jiji la dar lipo chin ya UKAWA na yy yupo chin yao...
#Mwambie Aache Kukurupuka kana boss wake#
mashoga!?
kukagua kila nyumba kusaka wasio na kazi!?
eeeeeeh kabla sijasahau na kupaka nyumba rangi viliishja wapi.....
rais ameruhusu kila mtu kufanyia mkutano jimboni kwake.... nimkumbushe tu kua jiji la dar lipo chin ya UKAWA na yy yupo chin yao...
#Mwambie Aache Kukurupuka kana boss wake#