Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Hata kama TanZania haitaongozwa na CCM siku zote lk chadema chini ya Lowasa na Mbowe hawezi kuja kuongoza TanZania kamwe!

Hivi vyama vyote ipo siku havitakuwepo ,tutabaki na Utaifa wetu ..Kwa sababu sio wewe uliewafanya wakawepo hapo kama unavyo washambulia , endelea tu kupiga kelele Mkuu..
 
Huu ukuta mbna Chadema wameuweka mbali kote uko. Haya matamshi yanatutia machungu zaidi kwanini hta Ukuta usianze hta kesho tu?
 
Makonda hajui kuwa yeye ni mteule tu wa Raisi na wala sio Raisi.

Yeye anaweza kushutakiwa ata mahakama ya mwanzo.

Sasa wacha alete sifa za kijinga afikiri kuwa yupo juu ya sheria.
 
Mashoga wamemshinda ataweza kupambana na UKUTA? Kwa kudandia mambo huyu naye hajambo, mbona analicheza kwata ambalo sio la kwake? Halafu kuna lugha moja anapenda kuitumia "Mkoa wangu wa Dar es salaam" nani kamwambia huo ni mkoa wake? yeye ni mtumishi tuu katika mkoa huo na sio wa kwake. Wa kwake ni mkewe nyumbani kwake.
 
Sasa cjui hizi ndo instrumental za kufanya kazi walizopewa naona wanatamka tuu hila unafuu mfukoni sioni au kwavile niko mpakan hapa

Vip nyie mlioko dsm moro dom katav ruvuma ...?
 


Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepiga marufuku maandamano ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Makonda amesema kuwa kufuatia kauli ya Rais,yeye anaitekeleza.

Makonda amesema kuwa kauli ya Rais ni moja ya mambo aliyoapa kuyatii na kuyatenda. Amesema kuwa hataruhusu wala kukubali kufanyika maandamano mkoani mwake.
Makonda ameanza...

Maoni yangu: Kama Mwanasheria sifurahishwi na kuwekwa kando kwa Sheria zinazoruhusu na kuratibu mikutano ya kisiasa na maandamano. Serikali naiomba ifanye tathmini njema juu ya sakata hili.Where are we heading?

Chanzo: Channel Ten

huyu naye uchwara kuliko uchwara original
 
Mungu anamakusudi Yake Mungu anataka kuitoa ccm kwa aibu kubwa sana muda tu ndio utakao amua.
Si kwa kuwatumia chadema. Wachaga wapenda fedha waliouza chama . Na hata likitokea ni miaka mingi ijayo
 
Safi sana Makonda. Utaifa mbele, solidarity forever!
Mbona unajitoa ufahamu? DSM ina wabunge wengi wa upinzani na kauli ya Magufuli jana akiwa Singida alitamka kuwa wale walioshinda katika majimbo yao wanaruhusiwa kufanya mikutano na hata kuandamana sasa sijui nini unachokishabikia hapo.
 
Si kwa kuwatumia chadema. Wachaga wapenda fedha waliouza chama . Na hata likitokea ni miaka mingi ijayo
Wachaga wamekufanyeje wewe mbona mapovu mengi pambana Na Hali yako usimchukie aliyekuzidi utajifunza vingi kutoka kwake
 
Back
Top Bottom