Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Makonda anatetea kitumbua chake. chondechonde nawaombeni cdm msirudi nyuma. kama mbwai na iwe mbwai. kwa dar ccm inalazimisha tu ilishakataliwa na umma....
 
Makonda nilishamwambia tatzo kutojua wajibu wake hiv kazi ya mkuu wa mkoa ni kuzuia
Shisha,
maandamano
Ushoga,
Au ni kutojua majukumu yako??

Acha kujitoa ufahamu lasivyo Katavi inakuusu
 
.. inaonekana wasukuma ni wababe sana. halafu hivi huyu jamaa ana matatizo ya macho/hayo mawani ya nini?
 
Mimi asingetoa tamko kushadidia ningeshangaa sana!

Waache wazuie maandamano kwa mjibu wa sheria siku yakitokea ambayo hayahitaji kibali wataelewa somo...!
 
1469896802854.jpg
 
Back
Top Bottom