Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Makonda apiga marufuku maandamano Dar

Kuna mmoja ameulizwa mnatumia sheria gani kuzuia mikutano ya kisiasa nchini..akajibu hatutumii sheria tunatumia utashi..aibu!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda amepiga marufuku maandamano ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Makonda amesema kuwa kufuatia kauli ya Rais,yeye anaitekeleza.

Makonda amesema kuwa kauli ya Rais ni moja ya mambo aliyoapa kuyatii na kuyatenda. Amesema kuwa hataruhusu wala kukubali kufanyika maandamano yakifanyika mkoani mwake.
Makonda ameanza...

Maoni yangu: Kama Mwanasheria sifurahishwi na kuwekwa kando kwa Sheria zinazoruhusu na kuratibu mikutano ya kisiasa na maandamano. Serikali naiomba ifanye tathmini njema juu ya sakata hili.Where are we heading?

Chanzo: Habari,Channel Ten usiku huu


Wewe ni Mwanasheria gani usiweelewa? Raisi amesema hajakataza Mikutano ya Kisiasa bali ni kwa wale waliochaguliwa tu, wale ambao hawajachaguliwa hawana cha kutueleza tena kwani walijaribu kutuomba kura tukawasikiliza, kuwapima na kutoa uamuzi wetu ambapo tuliwakataa sasa Mikutano ya nini? Kwa nini wasisubiri kipenga kitakapopulizwa 2020 ndiyo waanze tena?

Kwa nini wale tuliowachagua wasipewe nafasi ya kufanya kazi zao? Ni kwa nini Mbunge wa Hai aende Kahama na siyo Hai? Anafwata nini Kahama? Kwa nini Mbunge wa Singida aende Mwanza inamuhusu nini kwa nini asiende Jimboni kwake? Logic iko wapi? Au Kwenye Sheria huwa hamsomi Mathematics hata utambulisho tu wa kuhusu logic?
 
Wewe ni Mwanasheria gani usiweelewa? Raisi amesema hajakataza Mikutano ya Kisiasa bali ni kwa wale waliochaguliwa tu, wale ambao hawajachaguliwa hawana cha kutuueleza tena kwani walijaribu kutuomba kura tukawasikiliza, kuwapima na kutoa uamuzi wetu ambapo tuliwakataa sasa Mikutano ya nini? Kwa nini wasisubiri kipenga kitakapopulizwa 2020 ndiyo waanze tena?
Kwa nini wale tuliowacxhagua wasipewe nafasi ya kufanya kazi zao? Ni kwa nini Mbunge wa Hai aende Kahama na siyo Hai? Anafwata nini Kahama? Kwa nini Mbunge wa Singida aende Mwanza inamuhusu nini kwa nini asiende Jimboni kwake? Logic iko wapi? Au Kwenye Sherria huwa hamsomi Mathemitic hata utambulisho tu wa kuhusu logic?

Wapi nimejadili kuhusu Rais na tamko lake? Hebu soma tena,hujaelewa mada
 
Awamu hii.........ndio maana solo la bongo movie lieshuka maana tasnia imevamiwa.
 
Wewe ni Mwanasheria gani usiweelewa? Raisi amesema hajakataza Mikutano ya Kisiasa bali ni kwa wale waliochaguliwa tu, wale ambao hawajachaguliwa hawana cha kutueleza tena kwani walijaribu kutuomba kura tukawasikiliza, kuwapima na kutoa uamuzi wetu ambapo tuliwakataa sasa Mikutano ya nini? Kwa nini wasisubiri kipenga kitakapopulizwa 2020 ndiyo waanze tena?

Kwa nini wale tuliowachagua wasipewe nafasi ya kufanya kazi zao? Ni kwa nini Mbunge wa Hai aende Kahama na siyo Hai? Anafwata nini Kahama? Kwa nini Mbunge wa Singida aende Mwanza inamuhusu nini kwa nini asiende Jimboni kwake? Logic iko wapi? Au Kwenye Sheria huwa hamsomi Mathematics hata utambulisho tu wa kuhusu logic?
Tulipoanza vyama vingi vyama vya upinzani havikuwa na uwakilishi viliruhusiwaje kufanya siasa?
 
Katiba! Katiba! UKAWA Piganieni ipatikane katiba mpya muondokane na huu UJINGA!
 
Kweli nchi imefikia mahali hadi wajinga wameamua kwa niaba yetu
 
Akumbuke RAIA ni petroli hawajaribiwi, wajipime kabla ya kuongea
 
Makonda akitaka kupotea kwenye ulimwengu wa siasa aendelee kudakia dakia mambo yasiyomhusu!
Wanapofanya yale maandamano yao ya kuhimiza sijui usafi; kuna mtu aliwaingilia? Aache upambe nuksi.
 
Mwendawazimu hajawahi kujitambua kama mwendawazimu, bali hujiona yuko sawa kwa kila jambo
 
Wewe ni Mwanasheria gani usiweelewa? Raisi amesema hajakataza Mikutano ya Kisiasa bali ni kwa wale waliochaguliwa tu, wale ambao hawajachaguliwa hawana cha kutueleza tena kwani walijaribu kutuomba kura tukawasikiliza, kuwapima na kutoa uamuzi wetu ambapo tuliwakataa sasa Mikutano ya nini? Kwa nini wasisubiri kipenga kitakapopulizwa 2020 ndiyo waanze tena?

Kwa nini wale tuliowachagua wasipewe nafasi ya kufanya kazi zao? Ni kwa nini Mbunge wa Hai aende Kahama na siyo Hai? Anafwata nini Kahama? Kwa nini Mbunge wa Singida aende Mwanza inamuhusu nini kwa nini asiende Jimboni kwake? Logic iko wapi? Au Kwenye Sheria huwa hamsomi Mathematics hata utambulisho tu wa kuhusu logic?
sheria IPI inamruhusu kufanya hivyo.
 
Hawa wanataka tuishi Kama huko"north korea"
 
Back
Top Bottom