Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,661
- 6,909
Hatutegemei matamko tofauti ya makada wa ccm yatakayopingana na bos wao.
Subiri utajua kuwa anao huo uwezo au hanaHuyu naye anakurupuka kama kawaida yake alimwambia ana uwezo wa kuzuia maandamano ni nani?
Mkuu bila shaka utaandamana nyuma ya keyboardnjoo uzuie hayo maandamano UNAZANI CHADEMA NI Mh WARIOBA tutakutolea hasira tulizo nazo za wewe kupiga wazee.
swissme
Endelea kuota mkuuMungu anamakusudi Yake Mungu anataka kuitoa ccm kwa aibu kubwa sana muda tu ndio utakao amua.
Mmmmh hatAriTutamjibu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hapo ndio atajua kuwa wanyonge wanaweza
sheria IPI inamruhusu kufanya hivyo, acha upuuzi
Who they think they are??? Nchi hii ina katiba, sheria na kanuni well established... yaani?? Umekula ugali umeshiba unaanza kusema ya kwako.. Haikubaliki... Wanazitaka vurugu watapata vuruguMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda amepiga marufuku maandamano ndani ya mkoa wa Dar es Salaam. Makonda amesema kuwa kufuatia kauli ya Rais,yeye anaitekeleza.
Makonda amesema kuwa kauli ya Rais ni moja ya mambo aliyoapa kuyatii na kuyatenda. Amesema kuwa hataruhusu wala kukubali kufanyika maandamano yakifanyika mkoani mwake.
Makonda ameanza...
Maoni yangu: Kama Mwanasheria sifurahishwi na kuwekwa kando kwa Sheria zinazoruhusu na kuratibu mikutano ya kisiasa na maandamano. Serikali naiomba ifanye tathmini njema juu ya sakata hili.Where are we heading?
Chanzo: Habari,Channel Ten usiku huu
Acha ujinga wewe, hata katiba haujui inasemaje kuhusu kumshtaki rais?Kamshitaki basi kama unaona Raisi wa JMTZ amevunja Sheria za JMTZ, kwa nini mnabwabwaja hapa kutwa nzima? Mahakama ziko wazi, Wanasheria mnao, kwa nini hamuendi?
Acha ujinga wewe, hata katiba haujui inasemaje kuhusu kumshtaki rais?