mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Nimewahi kuishi Arusha, nimesoma A-level Arusha, naipenda Arusha na watu wake. Lakini ukweli lazima usemwe... Miaka ya nyuma, hususani mwanzoni mwa miaka ya 2000’s, kuna namna wakazi wa Arusha walitanabaishwa kama watu shupavu, wenye misimamo mikali katika kusimamia wanayoyaamini, watu wachapakazi, wenye kujiamini, wasioyumbishwa kirahisi; watu wa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe.
Lakini ndugu Daudi Albert Bashite ametuonyesha upande wa pili ambao, kwa hakika, ndiyo uhalisia wa watu wa Arusha. Ametuonyesha ni watu wasioaminika, watu wapenda dezo, wako radhi kukatana wao kwa wao kwa ajili ya minofu ya nyama na bia bureee. Ni watu wavivu na malofa, wako radhi kuuza utu wao kwa ajili ya lita 5 za mafuta ya Toyo.
Mmenishangaza sana!!
Lakini ndugu Daudi Albert Bashite ametuonyesha upande wa pili ambao, kwa hakika, ndiyo uhalisia wa watu wa Arusha. Ametuonyesha ni watu wasioaminika, watu wapenda dezo, wako radhi kukatana wao kwa wao kwa ajili ya minofu ya nyama na bia bureee. Ni watu wavivu na malofa, wako radhi kuuza utu wao kwa ajili ya lita 5 za mafuta ya Toyo.
Mmenishangaza sana!!