Makonda aendelea kupaa. Alamba Uteuzi Mzito Ndani Ya CCM

Makonda aendelea kupaa. Alamba Uteuzi Mzito Ndani Ya CCM

Ndugu zangu Watanzania,

Huyu Mwamba Ni Balaa Kwelikweli. Hakamatiki Wala Hashikiki. Mungu Wake nI mkubwa sana na anatembea naye muda wote

Kuna jambo kubwa sana limepangwa na Mungu Wake Kwa Taifa letu ambalo litatimia. Mengi nilishaeleza Juu ya huyu Mwamba na namna gani ni hazina ya Taifa letu.

Nitakuja kuwaleteeeni NONDO kumhusu Huyu Mwamba

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3534406
Mzee wewe unateuliwa lini, au wewe ndio zile (tools) wanasiasa wanazozitumia kufikia malengo yao.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huyu Mwamba Ni Balaa Kwelikweli. Hakamatiki Wala Hashikiki. Mungu Wake nI mkubwa sana na anatembea naye muda wote

Kuna jambo kubwa sana limepangwa na Mungu Wake Kwa Taifa letu ambalo litatimia. Mengi nilishaeleza Juu ya huyu Mwamba na namna gani ni hazina ya Taifa letu.

Nitakuja kuwaleteeeni NONDO kumhusu Huyu Mwamba

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3534406
Muuaji na mbakaji namba moja, pamoja na mama yake Kitumbo.
 
Hii nchi bila KATIBA MPYA aisee sasa tunakwenda kutawaliwa na hata mataahira.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Huyu Mwamba Ni Balaa Kwelikweli. Hakamatiki Wala Hashikiki. Mungu Wake nI mkubwa sana na anatembea naye muda wote

Kuna jambo kubwa sana limepangwa na Mungu Wake Kwa Taifa letu ambalo litatimia. Mengi nilishaeleza Juu ya huyu Mwamba na namna gani ni hazina ya Taifa letu.

Nitakuja kuwaleteeeni NONDO kumhusu Huyu Mwamba

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3534406
CHama kinachoiba kura kina jipya?
Chama kinachokaa kimya mauaji ya watz wengi kiasi hicho?

Hicho sio chama cha siasa, ni genge la wahuni na wezi kwenye ofisi za umma,magari ya umma na mishahara ya umma!
 
CHama kinachoiba kura kina jipya?
Chama kinachokaa kimya mauaji ya watz wengi kiasi hicho?

Hicho sio chama cha siasa, ni genge la wahuni na wezi kwenye ofisi za umma,magari ya umma na mishahara ya umma!
CCM ndio tumaini la watanzania wote. Ndio mtetezi wa wanyonge
 
Back
Top Bottom