barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Hakuna upatanisho wa kiroho kati ya nafsi hai na iliyokufa.Kiroho Mkonda alikuwa anafanya upatanisho, hii inawezekana tu kama dhamira yako ni nyeupe na hamna element za visasi kabisa.
Pataneni wakati mngali hai,maana upatanisho wa kweli ni maridhiano ya pande mbili zilizohai
All in all...Hii ni ajali kazini!!Ya Kaisari hubaki kwa Kaisari