Makinika na mijusi wa ndani ya nyumba!

Salaam, Shalom!!

UTANGULIZI.

Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.

MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.

Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,

Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.

Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,

Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.

Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,

Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.

Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!

Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.

Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.

SOLUTION.

1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.

2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.

3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.

NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!

ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.

Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen


Mungu akubariki.

Amen
Amen 🙏🙏🙏
 
Mna complicate maisha.
Tutafikia kuogopa mpaka vivuli vyetu.

Ukiwa mwenye Imani njema hayo yote hayakusumbui kwani una kila siraha ya mapambano. Hawajifichi kwenye mijusi peke yake au midoli. Hii ya kuua mijusi ni Imani haba.

Utaondoa kila kilicho na uwezekano wa kuwahifadhi?
Tunajiongezea stress zisizo na msingi. Pigana vita yako ya kiroho panapohitajika.
 
BIBLIA Gani?

BIBLIA inaposema, nimewapa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge na wasiwadhuru, ulidhani ni nyoka wapi hao?

Ni mapepo katika maumbo ya wanyama, so ukifuga mbwa, au paka, yayakuja yenye form hizo kupitia wanyama hao.

Adam na Eve ni mada ingine.
Sasa hauoni Biblia imekuambia kuwa umepewa mamlaka ,
Sasa Hofu ya Nini!
unakaa unaogopa mijusi sijui Mbwa Paka hutaki kuwaona😁

Hao ndio walitakiwa wakukimbie Kila wakuonapo hata nyumbani kwako wasiwepo sababu umepewa nguvu na mamlaka na hii Iko hvyo hao unaowaita mapepo hawawezi kukaa Kwa mtu mwenye nguvu na mamlaka
 
Salaam, Shalom!!

UTANGULIZI.

Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.

MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.

Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,

Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.

Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,

Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.

Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,

Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.

Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!

Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.

Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.

SOLUTION.

1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.

2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.

3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.

NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!

ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.

Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen


Mungu akubariki.

Amen
.
images-31.jpg
 
Salaam, Shalom!!

UTANGULIZI.

Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.

MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.

Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,

Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.

Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,

Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.

Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,

Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.

Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!

Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.

Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.

SOLUTION.

1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.

2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.

3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.

NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!

ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.

Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen


Mungu akubariki.

Amen
Anayedhuriwa na uchawi ni yule anayeamini uchawi au yeye mwenyewe ni mchawi.Wewe ni mmojawapo.Pia umepata mwanamke anayefanana na wewe.
 
Damu ya Yesu haichanganywi na maelekezo ya kutundika unyoya wa tausi wenye macho kufukuza mijusi,

Ukiamua njia ya Yesu kaa hiyo hiyo, na ukiamua kwingine Baki huko.

Kuchanganya Mungu na miungu ni kujitafutia matatizo.

Ubarikiwe
Usiwe kama pofu ambae haoni anapoelekea

Nimesema unyoya wa tausi nilisikia wakisema mijusi wanauogopa, na haihusiki na imani zozote za Kishirikina
 
UFUNUO 21:8

Imethibitisha juu ya uwepo wa wachawi.

Ikiwa huamini kuwa wachawi wapo, Muulize shangazi Yako Kwa HEKIMA na upole, atakuthibitishia.

Uliza vizuri uambiwe kitovu chako kilipokatwa kilipelekwa wapi.
Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
 
Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
Ikiwa hutaki kuamini maandiko niloquote,

Na ikiwa hutaki kuamini testimony yangu binafsi niloandika hapa nikusaidieje?

Baki hivyo hivyo.

Maana imeandikwa, ni kheri aaminiye kuliko kutokuamini.
 
Salaam, Shalom!!

UTANGULIZI.

Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.

MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.

Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,

Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.

Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,

Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.

Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,

Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.

Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!

Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.

Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.

SOLUTION.

1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.

2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.

3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.

NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!

ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.

Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen


Mungu akubariki.

Amen
Acha ushirikina tafuta hela na elimu...vitakusaidia
 
Ikiwa hutaki kuamini maandiko niloquote,

Na ikiwa hutaki kuamini testimony yangu binafsi niloandika hapa nikusaidieje?

Baki hivyo hivyo.

Maana imeandikwa, ni kheri aaminiye kuliko kutokuamini.
Kamini kitu bila ya uthibitisho ni upuuzi!
 
Back
Top Bottom