PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 659
- 1,074
Sioni tatizo la kufuga paka Mimi. Paka ni walinzi wazuri sana wanasaidia sana kuwinda panya na nyoka na hata hao minusi
Kama huko kanisani mnaaminishwa hivyo basi Iko shida mahala🤔Narudia kusema, wengi wafuga paka, hukosi mchawi katika familia hiyo.
Duh huyu wangu sasa hizi ndiyo tabia zake litakuwa lichawi au sio ?Ni sawa, lakini hakikisha paka wako wasipande kwenye mabati ya watu usiku na kupiga kelele za ajabu ajabu.
Ni muhimu kulala Kwa utulivu.
Amen 🙏🙏🙏Salaam, Shalom!!
UTANGULIZI.
Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.
MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.
Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,
Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.
Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,
Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.
Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,
Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.
Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!
Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.
Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.
SOLUTION.
1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.
2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.
3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.
NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!
ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.
Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen
Mungu akubariki.
Amen
Tutafikia kuogopa mpaka vivuli vyetu.Mna complicate maisha.
Mkuu,Vuta Bangi/Bange/Msuba/Ganja/Mjani..
Hakuna cha mjusi wala mende atakayekusumbua..
Sawa ila kuwaua mijusi na wadudu si dhambi au ?!Si kucomplicate,
Sisi tuliookoka, ni WA kiroho, macho yapo wazi, hatupaswi kuishi kama vipofu.
Sasa hauoni Biblia imekuambia kuwa umepewa mamlaka ,BIBLIA Gani?
BIBLIA inaposema, nimewapa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge na wasiwadhuru, ulidhani ni nyoka wapi hao?
Ni mapepo katika maumbo ya wanyama, so ukifuga mbwa, au paka, yayakuja yenye form hizo kupitia wanyama hao.
Adam na Eve ni mada ingine.
.Salaam, Shalom!!
UTANGULIZI.
Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.
MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.
Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,
Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.
Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,
Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.
Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,
Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.
Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!
Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.
Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.
SOLUTION.
1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.
2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.
3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.
NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!
ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.
Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen
Mungu akubariki.
Amen
😂😂
😍😍
Stupid. In Samia voice.Kulipa FUNGU la kumi ni Amri.
FUNGU la kumi ni sadaka Kwa ajili ya ulinzi wa AFYA, Mali, mifuko kutoboka, chumaulete, na kulinda KAZI ya mikono Yako.
Usiache kulipa ZAKA, utakuwa Mwizi.
Anayedhuriwa na uchawi ni yule anayeamini uchawi au yeye mwenyewe ni mchawi.Wewe ni mmojawapo.Pia umepata mwanamke anayefanana na wewe.Salaam, Shalom!!
UTANGULIZI.
Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.
MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.
Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,
Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.
Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,
Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.
Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,
Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.
Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!
Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.
Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.
SOLUTION.
1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.
2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.
3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.
NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!
ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.
Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen
Mungu akubariki.
Amen
Usiwe kama pofu ambae haoni anapoelekeaDamu ya Yesu haichanganywi na maelekezo ya kutundika unyoya wa tausi wenye macho kufukuza mijusi,
Ukiamua njia ya Yesu kaa hiyo hiyo, na ukiamua kwingine Baki huko.
Kuchanganya Mungu na miungu ni kujitafutia matatizo.
Ubarikiwe
Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!UFUNUO 21:8
Imethibitisha juu ya uwepo wa wachawi.
Ikiwa huamini kuwa wachawi wapo, Muulize shangazi Yako Kwa HEKIMA na upole, atakuthibitishia.
Uliza vizuri uambiwe kitovu chako kilipokatwa kilipelekwa wapi.
Ikiwa hutaki kuamini maandiko niloquote,Bado unaendeleza habari zisizo na uthibitisho! Huo ufunuo umethibitisha Vipi kuhusu uwepo wa uchawi kama sio unanukuu tu kilichoandikwa! Kitovu kinaingiliana Vipi na kuwepo Kwa uchawi ,ukitizama vizuri hoja zako zote zimelalia kwenye mambo ya kufikirika!
Acha ushirikina tafuta hela na elimu...vitakusaidiaSalaam, Shalom!!
UTANGULIZI.
Ndani ya nyumba zetu, Pana mijusi yenye RANGI nyeupe tofauti na mijusi wa nje. Na KAZI ya mijusi KIMWILI Huwa ni kutafuta na kula WADUDU watambaao na warukao nk nk.
MADA: MAKINIKA NA MIJUSI/ UPANDE WA PILI WA MIJUSI YA NDANI YA NYUMBA.
Kuna mjusi alikuwa akiishi ndani ya nyumba yetu, na tulimchukulia kawaida tu kama mijusi wengine. Tukiwa sebuleni utamuona juu katulia tulii anatuangalia,
Tukiingia chumbani, yupo, Kuna time tulitilia mashaka ,lakini sababu hatukuwa na HAKIKA kuwa Si mjusi wa kawaida, tulipuuza.
Siku moja tumelala, usiku, nikajikuta kwenye vita kubwa sana katika Roho, nilikuwa napambana na mijusi wakubwa sana, mijusi giant ambao nilikuwa napambana nao Hadi JASHO linanitoka,
Nilikuwa nakemea, Kwa Jina la YESU, Damu ya Yesu, vita ilikuwa Kali sana, nilijiuliza kwanini Leo vita imekuwa Kali sana tofauti na vita za siku zingine, niliemdelea kukemea.
Nikiwa katika vita nikashtuka na kuamka, kumbe, mke wangu pia alikuwa akipambana vita kama yangu nae aliposhtuka tukaanza kuulizana nini kilikuwa kinatokea,
Tulijiuliza labda ni wachawi walikuwa wametuvamia, tulipowasha taa, tulishangaa sana kumkuta mjusi ambaye alikuwa akikaa juu ya dari, ameingia ndani ya neti yetu ametulia pembeni mwa Kuta ya Net. Baada ya kumvizia tumuue, alituponyoka na kukimbia.
Tangu siku hiyo, Niko makini sana na mijusi wa aina hiyo ndani ya nyumba na WADUDU wenye kutilia mashaka sababu mijusi wanaweza kutumiwa kama Antenna za kichawi. Yaani unarushiwa makombora Toka kuzimu kupitia mjusi au paka au mbwa au mdoli uliyenunua au kumfuga mwenyewe!!
Pia mijusi ndani ya nyumba wanaweza kukaribisha mapepo ambayo yanaweza kushambulia kupitia mwili wa mjusi.
Pepo halina mwili, hivyo likipata mdoli au kinyago ndani ya nyumba Yako, hupata Mahali pa kukaa na kukushambulia Kwa karibu na nguvu zaidi. Vita ya Wana wa Mungu ni katika Ulimwengu wa Roho, Vita zetu huanzia Rohoni kabla ya kuja mwilini.
SOLUTION.
1. Hakikisha huweki vinyago, midoli ndani ya nyumba. Mapepo yanaweza kuingia ndani ya vinyago na ukapata vita direct Kutokea vitu hivyo.
2. Acha mara Moja kufuga paka na kuishi naye ndani ya nyumba, paka au mbwa, Pepo anaweza kuwaingia na akawatumia kukuattack.
3. Puliza dawa ya kuua mijusi na WADUDU ndani ya nyumba, maana nyumba ya kuishi haipasi kuwa makazi ya chawa, mende, kunguni, viroboto, mijusi ,panya nk nk.
NB: Si mijusi wote ni kama niliyepambana nae Mimi, ni kukupa tu tahadhari kutokupuuzia mambo!!
ANGALIZO: Usilale bila kufanya maombi, funga milango Yako Kwa Damu ya Yesu, zungusha ulinzi katika anga lako na ardhi unayomiliki.
Ikiwa hujaokoka fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA. NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU. Amen
Mungu akubariki.
Amen
Kamini kitu bila ya uthibitisho ni upuuzi!Ikiwa hutaki kuamini maandiko niloquote,
Na ikiwa hutaki kuamini testimony yangu binafsi niloandika hapa nikusaidieje?
Baki hivyo hivyo.
Maana imeandikwa, ni kheri aaminiye kuliko kutokuamini.
Mbona hujaenda kuthibitisha ikiwa baba aliyekuzaa ndiye babako halali?Kamini kitu bila ya uthibitisho ni upuuzi!