Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,828
- 8,685
Habari za muda poleni watanganyika wenzangu Mungu atutie nguvu na atuepushe na yule mwovu.
utangulizi
Hivi karibuni Moja ya watu mashuhuri duniani na wenye fedha kutokana na ubunigu wao hasa hasa kwenye nyezo ya teknologia ya habari,
Mtandano wa twitter unao milikiwa na Elon Musk hatimae umapeta mpinzani kwa jina la threads unai milikiwa na Mark zuckerberg, lakin inaonekana kuzua tafurani kidogo baina ya watu wawili.
jamii ya mijusi yani reptiles.
kumekuea na conspirancy theories ambazo zinahusisha kuwako wa viumbe jamii ya mijusi walio valia sura za binadamu lakin SILIKA yao ni mijusi, Baadhi ya watu mashuhuri kama Mark Zuckerberg Malkia Elizabeth na wengineyo.
Baada ya elon hupata mpinzani zuckerberg mzinduzi wa mtandao wa threads Elom Musk amepost kitu kwenye mtandao wake wa twitter ambacho kimezua maswali na kurudisha uhai wa yanayo semwa kuhusu jamii za mijusi, kwamba akimuita mark zuckerberg Lizard boy wakati zucker anahusiswa sana kuwa sio binadam bali ni elite kutoka society za mijusi inonekama kama ka utani lakin sivyo.
Dunia inamengi
utangulizi
Hivi karibuni Moja ya watu mashuhuri duniani na wenye fedha kutokana na ubunigu wao hasa hasa kwenye nyezo ya teknologia ya habari,
Mtandano wa twitter unao milikiwa na Elon Musk hatimae umapeta mpinzani kwa jina la threads unai milikiwa na Mark zuckerberg, lakin inaonekana kuzua tafurani kidogo baina ya watu wawili.
jamii ya mijusi yani reptiles.
kumekuea na conspirancy theories ambazo zinahusisha kuwako wa viumbe jamii ya mijusi walio valia sura za binadamu lakin SILIKA yao ni mijusi, Baadhi ya watu mashuhuri kama Mark Zuckerberg Malkia Elizabeth na wengineyo.
Baada ya elon hupata mpinzani zuckerberg mzinduzi wa mtandao wa threads Elom Musk amepost kitu kwenye mtandao wake wa twitter ambacho kimezua maswali na kurudisha uhai wa yanayo semwa kuhusu jamii za mijusi, kwamba akimuita mark zuckerberg Lizard boy wakati zucker anahusiswa sana kuwa sio binadam bali ni elite kutoka society za mijusi inonekama kama ka utani lakin sivyo.
Dunia inamengi