Maneno yanayosemwa mara kwa mara kwa jazba na Anne Makinda ni ushahidi tosha kuwa hawezi kazi yake. Cheo cha uspika wa Bunge la Tanzania kimewahi kushikwa na watu tofauti, kuanzia Chief Adam Sapi Mkwawa, Chief Erasto Mang'enya kwa muda mfupi, akarudi tena Chief Mkwawa ambaye alifuatiwa na Samwel Sitta....
Hongera kwa kutumia akili zako Vizuri Faiza.Ningemtete Makinda lakini jinsi alivyotudhalilisha watu wa Kariakoo stahili yake yampate. Na bado.
hacha umbea wewe yan una mambo ya wenzetu weweandamaneni cdm km kawaida yenu na safari hii cjui itakuwaje mana shamba la bibi lenu la udom mnaowatumia kuandamana wapo nyumbani.poleni sanaaaa.
i oo.Kachambe akili Fisadi tu wewe!!
Nimeipenda sana hii analysis yako mkuu,thanks.Wakati wa sitta,kuna baadhi ya wabunge wa sisi em walijitahidi atleast kutokuwa watumwa kwa kuchambua mada kwa kadiri ya uwezo wao na in a way kuto dhalilisha taaluma zao kama ambavyo wanafanya kipindi hiki.KTK Bunge la tisa,you could sense ule utaifa na clear boundary kati ya sirikali na mhimili mwingine wa dola(Bunge),which is no where to be seen now,thats why ninashawishika kuamini kuwa wabunge wa chama la magamba wameamua kwa makusudi(japo wengine ndo thinking yao imefikia limit) kuwapa upinzani umaarufu na serikali yao kugaragazwa vilivyo!
Nakubali shingo upande kuwa Anne anawasaidia wapinzani. Nasema hivi kwa sababu msingi wa Bunge uko kwenye demokrasia ya kweli. Unapokuwa na spika kama Anne ambae anakibeba Chama tawala wazi wazi, dhana ya demokrasia ya kweli inapotea. Hii ni hatari sana kwa "nascent" democracies kama hizi za kwetu.
Ukweli unabaki pale pale kwamba Spika anatakiwa kuwa neutral na kuendesha Bunge kwa misingi ya kanuni na demokrasia.