Uzee unajua makinda ni kijibibi fulani(you can't teach an old dog new tricks),wangekuwa wanafuata nyayo za mwl wangeshang'atuka kitambo,pili si mwanasheria kama kazi spika inavyotaka.tatu ni lazima asimamie maslahi ya waliomweka pale i.e.mafisadi,ambao ni serikali nzima ya ccm.nne hiki kibibi ni kichawi so kinaleta ujasiri wa kichawi sehemu isiyohusika wimbi la mabadiliko haya halielewi wala kusikia uchawi.bravo ccm,mnajimaliza wenyewe.Mheshimiwa A. Makinda anafanya kazi asiyoiweza! Kwanza hana hekima ya kuongoza Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania amejawa na jaziba na hawezi kuji-control. Nafikiri tuhesabu hii miaka mitano tumepoteza kwani maswala mengi ya maendeleo ambayo anapashwa asimamie hayatafanyika zaidi ya kuweka vigingi na vizuizi....HAFAI....siyo kushitakiwa tu anatakiwa ajiuzuri u-speaker....